Wanawake jifunzeni kutoka kwa kajala


Was thinking the same thing. Kuwa na specific thread ya kujifunzia mambo kama haya ni better zaidi. I am developing an interest in rugby and was thinking the same thing ili AfroDenzi akikatie shule.
 
Will do that sasa hivi.... lol... Ngoja nim beep Paw, Roulette leo kanikaushia! lol
 
Will you be able to give us equal concentration at par? :thinking:

Why not? Ila yule ambaye atakuwa mgumu kuelewa, might need some more time. Ninachotaka ni kila mtu apige A kwenye somo langu. Shule yangu sio shule ya kata. lol.
 
Will do that sasa hivi.... lol... Ngoja nim beep Paw, Roulette leo kanikaushia! lol

Huyo Russian Roulette wala usimshtue asije akiniharibia dili kama alivyofanya kwenye ile biashara yangu ya kuuza a puppy. Nimemwona tokea jana claiming that s/he can teach you. Na kwa vile kuna potential student, nina wasiwasi nae, tena sana. Mambo yote kwa Paw.
 
hapa kunakoelekea kuna mtu ataenda kupigwa HAT TRICK SOON ngoja tuone mambo yanavyoenda
 
Ana kingine cha kumiss?
Kwakweli sidhani kama anacho zaidi ya urembo...
Ameanza mbwembwe zamani huyu binti, namkumbuka kipindi kile "Jite Ute" ya Col. Massawe

Sipendagi kulaumu linapokuja suala la mapenzi ila kusema za ukweli na kujaribu kuwa fair kwa sasa madada zetu type ya akina Kajala imekuwa ndio kama deal na ndio kama mtindo wa maisha.... inatakiwa pesa haijalishi umeipataje au imetoka wapi....
Dhana ya "kuchuma wote" haipo tena saivi na hii ni mbaya sana katika muelekeo wa kijamii...
Na saiv suala la ku-fall in love limekuwa gumu sana kwa vijana wa kawaida.....
Tumepotea sana, dada zetu tuokoeni maana nyie ndio wajenzi wakuu wa ulimwengu

 
Reactions: EMT
Kafungwa miaka saba
Kwa kosa la kuuza nyumba iliyokuwa inashikiliwa na serikali baada ya mumuwe kuhusika na kosa la money laundry

ni yule msanii wa bongo movie? kama ndie habari zake na picha zimo humuhumu jf.
 
hakuna kocha anayechaguliwa wa kumpanga, maisha ni mapito tu.

Na haramu zote tamu., wataenda endeleza mapenzi huko huko gerezani.
 
hakuna kocha anayechaguliwa wa kumpanga, maisha ni mapito tu.

Na haramu zote tamu., wataenda endeleza mapenzi huko huko gerezani.

Mmmmmh, Kongosho! Nimeshangaa habari kuwa wafungwa wa kike wanapata ujauzito jela, sasa nimekuelewa:decision:
 


Wanawake tafuteni masiha yenu. toka vijijini wanawake ndio watunzao familia ukija mjini ni mifano to
 
maskini mdadawa watu,tafanyaje...MAISHA YANAKABA
 

Kajala ndio nani?
 
Mpe pole. . .
Kinachokuja kirahisi siku zote huondoka kirahisi.
 
Kila kazi na ujira wake. Huo ndio mshahara wa kaz yake hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…