C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,074
- 3,743
wanawake wa jf naomba mjifunze kutoka kwa kajala mchague wa kuolewa nae na mchunguze sio umeona jamaa ana pesa zake wewe from nowhere..
Unaingia mapenzini nae bila kujua hizo hela katoa wapi yatakuja kuwakuta kama yaliyomkuta mdogo wangu kajala
inasikitisha but ni lazima mjifunze kuchunguza mtu wa kuolewa nae na hata mkiwa katika ndoa ridhikeni na kipato chenu ni hayo
tu waungwana
Unaingia mapenzini nae bila kujua hizo hela katoa wapi yatakuja kuwakuta kama yaliyomkuta mdogo wangu kajala
inasikitisha but ni lazima mjifunze kuchunguza mtu wa kuolewa nae na hata mkiwa katika ndoa ridhikeni na kipato chenu ni hayo
tu waungwana
