Wanawake jitahidini kutoweka wazi shida zenu mapema mnapoingia kwenye penzi jipya

Wanawake jitahidini kutoweka wazi shida zenu mapema mnapoingia kwenye penzi jipya

Nakumbuka niliwahi kuingia kwenye mahusiano na binti mmoja wa ki Arusha ambae tulijuana kupitia social media, yeye alikua Arusha na mimi nilikua Dar es salaam

Huyu binti kwanza alikua ananikera kitu kimoja, anapenda sana video call sasa sijui alikua anataka kugundua nini

Ingawa nilikua sipendi lakini nikaona anyway kwakua ndo tumeanza mahusiano wacha nimlizishe

Hali hiyo haikunisumbua sana mana nikajua kadri tutakavyozoeana nitamueleza ukweli kwamba mimi sio mpenzi sana wa video call

Tulipanga kuonana na nilimuahidi kwamba ningeenda Arusha kuonana nae

Huyu binti alinivunja moyo kitu kimoja, kabla hata sijaenda kuonana nae kwa mara ya kwanza akanipiga mzinga wa 80k akidai kioo cha simu yake kimepasuka hivyo anataka akakibadirishe.

Alivyonambia hivyo tu nikaona hapa hamna mtu, yani hata kuonana physically kwa mara ya kwanza bado hatujaonana lakini nishapewa invoice ya 80k wakati yeye mwenyewe anafanya kazi na ana kipato.

Nilikua na uwezo wa kumpa ile hela lakini niliona mbona mapema sana kashaanza kuleta matatizo yake it means yupo after something.

Huyu binti nilimkatia mawasiliano 100% mana niliona hana tofauti na Golddigger na safari yenyewe nilii cancel

Ni kweli wanawake mnahitaji kuhudumiwa na wawanaume ila jitahidini kuficha shida zenu mwanzoni tu mwa mahusiano mana mtajikuta watu wanapiga kisha wanatembea yani ni kama vile kununua malaya Riverside kisha kila mtu anachukua hamsini zake.
Swali: Kutongoza ni nini?
Jibu: Kutongoza ni kumbembeleza mwanamke akubali shida zake ziwe zako!
Hutaki unaacha tu..
 
Ni kweli wanawake mnahitaji kuhudumiwa na wawanaume ila jitahidini kuficha shida zenu mwanzoni tu mwa mahusiano mana mtajikuta watu wanapiga kisha wanatembea yani ni kama vile kununua malaya Riverside kisha kila mtu anachukua hamsini zake.
Weekend nilikuwa Mbezi terminal kwenye mgahawa mmoja ghorofani pale, Bwana mmoja wa makamo aliketi na mama mmoja mwenye kadirio la age ya 40s, ni kama walikutana pale kufahamiana ili walianzishe, ila nilichokuwa namsikia yule mama akiongea ilikuwa ni kulalamika mwanzo mwisho.

Mara hajui kodi ya nyumba atalipaje mwezi huu, mara mgongo unauma alipiga x-ray hana hela ya mazoezi, sikukuu zinakaribia hajui ataendaje nyumbani na watoto watavaa nini nk, mwenzake akiyumbisha mazungumzo kinamna yeye atajibu kidogo, anarudi kulekule.
 
UKIANZA KU-DATE NA SLAY QUEEN WA KIBONGO BASI TARAJIA HAYA:

1. BIRTHDAY LOADING....

2. SIMU IMEPASUKA KIOO...

3. WEEK HII NATAKA NIKASUKE NYWELE...

4. KODI INAISHA MWEZI UJAO.....

5. ZAMU YANGU KULIPIA UMEME NA MAJI KESHOKUTWA....

6. NATAKA NIKABADILISHE KUCHA....

7. MDOGO WANGU KAISHIWA NA ADA ANATAKIWA ARUDI CHUO...

8. KUNA KIJORA/DERA/ GAUNI JIPYA NIMELIPENDA PALE SOKONI....

9. BANDO LANGU LA WIKI LIMEISHA, NIUNGE LA MWEZI....

10. REJESHO LA KIKOBA (MCHEZO) ZAMU YANGU.....

........ETC ETC
 
Sasa we mwenyewe hujishangai maelezo yako, unaoneka wazi umekurupuka kujibu.

Familia na uchumba ni vitu viwili tofauti, kama angekua ni mke nisingelalamika mana tayari ni mke sasa sasa nahudumiaje mchumba ambae hata penzi lake sijalionja.

Tumia akili boya wewe
Nyota njema huonekana asubuhi, yaani kama unaona burden mwanzoni ya kumsaidia mwanamke au kufanya majukumu yako kama mwanaume ndio kwenye hiyo ndoa utaweza?

Wacha maneno yako, we huna hela tafuta sana la sivyo utaacha sana wanawake kwa ubahili wako.. Najua wabahili wenzio watatokwa povu mno.
 
Watu wanatuma hata hawajakufahamu sura, sema basi hela ngumu mkuu. Upo sahihi pia kwa upande wako maana huenda ulikuwa na malengo ya kweli na hicho ndicho kilikuwa kipimo chako nae hakujua hilo....

Hivyo ikawa vise versa.... Sema nini mkuu sikuzote mwanamke kwa mwanaume ujifeel comfortable akihudumiwa hata kwa kile ana uwezo nacho kujihudumia.
 
Weekend nilikuwa Mbezi terminal kwenye mgahawa mmoja ghorofani pale, Bwn mmoja wa makamo aliketi na mama mmoja mwenye kadirio la age ya 40s, ni kama walikutana pale kufahamiana ili walianzishe, ila nilichokuwa namsikia yule mama akiongea ilikuwa ni kulalamika mwanzo mwisho mara hajui kodi ya nyumba atalipaje mwezi huu, mara mgongo unauma alipiga x-ray hana hela ya mazoezi, sikukuu zinakaribia hajui ataendaje nyumbani na watoto watavaa nini nk, mwenzake akiyumbisha mazungumzo kinamna yeye atajibu kidogo anarudi kulekule
Daah noma 😅😅😅
 
Tafuta pesa kijana[emoji36] Hivi kweli elfu 80 ni hela ya kunung'unika adi uvunje mahusiano na mtu unayesema unampenda?Je kuhudumia familia utaweza kweli ukiwa nayo maana vya kwenye familia gharama zinatiririkaga automatically mara mtoto aumwe mke ameze mswaki yaani tafrani hahaa.
🤣🤣🤣🤣Kwa hiyo mke akimeza mswaki Hela ya operation inatakiwa au sio?
 
Back
Top Bottom