Wanawake jitahidini kuwa wasafi

Duh, sasa si ungemwambia tu ukweli ajijue, unatuambia humu sisi ndyo tunaonuka ? Aargh utukomee ,mnachukua madada poa huko wenye nanii za kufuta tu mnategemea nini[emoji16]
Iwe funzo kwake na kqa wengine, sio chagudoa ni mdada tuu wa uraiani kama wewe
 
So what are u trying to insinuate kuwa vibonge ndo wananuka ? Here's a thing kuwa mnene haimaanishi unakuwa mchafu , hata wembamba watu wachafu wapo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nimecheka baada ya kuona jibu la mleta mada kuwa mnuka mafi ni kamtu kembamba....loh!
 
Next time tembea na hivi vitendea kazi...

 
Siku nyingine kabla hamjaanza mpeleke dada aoge kwanza nyie huwa mnajitupa tu uwanjani bila kuoga?
Siku hizi hawakubali kuoga kabla kwa sababu masura yalishamongonyoka yana vipele na hujisiliba mazege yaitwyo make up hivyo akioga yatatoka na utaiona sura yake halisi na utamkimbia....uchafu ndio unapoanzia hapo.. mimi mwanamke akishapaka makeup, kope za bandia ,kucha za bandia ni marufuku
 
Ni kweli mkuu
 
Kuuumbee !! wanaume mna kazi sana siku hizi kumbe, in that case uso auache ulivyo aoge kuanzia shingo kwenda chini
 
Ulikuwa na papara?
Kwanini hamkuanza kwa kuoga kwanza?@Heisenberg blue meth,
 
Labda bidada hakuwa na marinda, walipofika mshindo alijiharishia
Lakini ulifanikiwa kumwaga e?

Hivi kwa logic ya kawaida mtu ananukaje mavi akati ulikuwa unadeal na uke?kuwa mkweli ulipeleka wapi hiyo naniliu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…