Wanawake jitahidini kuwa wasafi

Wanawake jitahidini kuwa wasafi

Wengine wanakuwa na ugonjwa sema hawajui kinachoendelea muwapeleke hospital sio kawaida kuwa foul discharge .
Hii kitu ya usafi hasa mkiwa faragha ni muhimu sana maana unaweza ukavuruga ambiance dakika sifuri na shughuli ikaishia hapo.
 
Simaanisha usafi wa nguo, hapana! Huko chiniii.

Jana jumapili nilienda Lodge na dada mmoja hivi ukimuona kwa mavazi ni msafi sana, lakin huwez amin baada ya kupiga round mbili sikua na ham tena yaani, chumba kizima kilikua kinanuka mavi utasema labda nilikua namla nyuma kumbe wapi! Chumba kizima kikawa kinanuka maji taka, mjjtahidi kujiosha huko down mmekua wachafu sana sasaiv mnachojua ni kuomba hela tuu [emoji41]

Na ningejichanganya nizame uvinza ningekosa hewa ningezimia tuu walahi
Dah! Aisee...
 
Duh, sasa si ungemwambia tu ukweli ajijue, unatuambia humu sisi ndyo tunaonuka ? Aargh utukomee ,mnachukua madada poa huko wenye nanii za kufuta tu mnategemea nini[emoji16]
 
Mkuu bora wewe umekutana na harufu hio,nlishawahi kukutana na harufu ya samaki wabichi waliochina,nikiweka picha ya huyo dem tutabishana hapa mpka asubuhi,hafananii na anavyonuka!!

kuna vitu huwezi mwambia mtu direct,ila dada zangu kama unachangamoto hiyo badilika utaachika na kila mtu!
 
Mkuu bora wewe umekutana na harufu hio,nlishawahi kukutana na harufu ya samaki wabichi waliochina,nikiweka picha ya huyo dem tutabishana hapa mpka asubuhi,hafananii na anavyonuka!!

kuna vitu huwezi mwambia mtu direct,ila dada zangu kama unachangamoto hiyo badilika utaachika na kila mtu!
Hahaha nitumie picha yake nione maajabu
 
Back
Top Bottom