Wanawake jitahidini kuwa wasafi

Wengine wanakuwa na ugonjwa sema hawajui kinachoendelea muwapeleke hospital sio kawaida kuwa foul discharge .
Hii kitu ya usafi hasa mkiwa faragha ni muhimu sana maana unaweza ukavuruga ambiance dakika sifuri na shughuli ikaishia hapo.
 
Dah! Aisee...
 
Duh, sasa si ungemwambia tu ukweli ajijue, unatuambia humu sisi ndyo tunaonuka ? Aargh utukomee ,mnachukua madada poa huko wenye nanii za kufuta tu mnategemea nini[emoji16]
 
Mkuu bora wewe umekutana na harufu hio,nlishawahi kukutana na harufu ya samaki wabichi waliochina,nikiweka picha ya huyo dem tutabishana hapa mpka asubuhi,hafananii na anavyonuka!!

kuna vitu huwezi mwambia mtu direct,ila dada zangu kama unachangamoto hiyo badilika utaachika na kila mtu!
 
Hahaha nitumie picha yake nione maajabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…