Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Et kwa logic ya kawaidah
..... Nyie jitahidini usafi ,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vitu vingine mnatusingizia,havina logic kabisa yani 😐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Et kwa logic ya kawaidah
..... Nyie jitahidini usafi ,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Harufu ya majini HiyoNiunganishe na huyo bibie nimuuzie udi ili mkikutana tena anukie kama jasmine.
Sister duu!!! Anajua kuomba hela tuuNi kweli baadhi ya akina hawazingatii sana suala la usafi binafsi wa ndani zaidi ya kuzingatia usafi wa nje tu. Wanakera sana I see!!
OkHarufu ya majini Hiyo
Majini /mapepo yatamfuata
Noo Noo Hapana wapo wengine utafikiri panya amekufawavaa 'ushungi' wanajitahidi sana usafi kwenye hiyo IDARA
sijawahi kujutia...uzame chumvini,au mtaroni,kote kupo clean
hawa wengine hata wakikojoa hawaoshi;hata wakikata gogo ndio wanachambia toilet paper..
na wengine wanashindiliako powder hadi perfume na hatimae wanaharibu 'uoto wa asili'..
Ilikua inaongezeka taratibu, kwenye mzunguko wapili pale ndio harufu ikafikia kwenye peak yakeYaani ushapiga viwili ndo unasikia harufu ya mavi?
Wavaa ushungi ndio wapi hao, waslam auwavaa 'ushungi' wanajitahidi sana usafi kwenye hiyo IDARA
sijawahi kujutia...uzame chumvini,au mtaroni,kote kupo clean
hawa wengine hata wakikojoa hawaoshi;hata wakikata gogo ndio wanachambia toilet paper..
na wengine wanashindiliako powder hadi perfume na hatimae wanaharibu 'uoto wa asili'..
Sana sana sanaaaaaaaaNi kweli baadhi ya akina hawazingatii sana suala la usafi binafsi wa ndani zaidi ya kuzingatia usafi wa nje tu. Wanakera sana I see!!
Usifuje udi. Mwache anuke mavi hatawazi anatumia wipes kwa hiyo hata ukimpa udi atanuka tu. Kwanza aache kutumia karatasi atumie maji ndipo umuuzie udiNiunganishe na huyo bibie nimuuzie udi ili mkikutana tena anukie kama jasmine.
Nasikia harufu ya mavi katika uzi huu mkuuu hahahhahPuuu Puuu Puuu Puuu Puuu
Harufu ya mavii.......???
Hatar fayaaa stimu zinakata kabsaaa
Kamata funga kamba rutaaa hadi baharini ogesha kwa nguvu
Mwambie unanuka mavii
Piga stik /mafimbo ya kutosha
Siku nyingine asirudie kuwa mchafu
Aisee Aisee Aisee Aisee.......
Hali ya hewa ishachafuka hapa
Labda umfundishe kuchamba, hata udi unaweza ukadundaNiunganishe na huyo bibie nimuuzie udi ili mkikutana tena anukie kama jasmine.
Nitamfundisha jinsi ya kuosha kisha jinsi ya kujifukiza.Usifuje udi. Mwache smile mavi hatawazi anatumia wipes kwa hiyo hata ukinipa udi atanuka tu. Kwanza aache kutumia karatasi atumie maji ndipo umuuzie udi
Kulwa wangu kesho nakupa, yaani kesho ndio kesho.😀Hujui vile nna hasira na wewe,we sio wa kuninyima ujue
Ndio itakua hajui namna ya kuoga, chini panahitaj mda wa kupapiga usafiUlijua je alioga vzr huku unasema tujisafishe huku alioga vzr