Wanawake, kama hauko tayari kuolewa ni bora uwe wazi

Wanawake, kama hauko tayari kuolewa ni bora uwe wazi

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Nimepokea kwa masikitiko makubwa kisa cha mauaji ya muuguzi Mirembe aliyeuawa na mumewe kikatili.

Sababu pekee inayoweza kumfanya mwanaume kufanya ukatili huu ni wivu wa mapenzi.

Bahati mbaya wanawake huwa wanajisahau na kudhani mtu waliyezoea kumuona mkimya au boya, hawezi kuwafanya chochote.Hii huwafanya washindwe hata kutumia silaha kubwa ya kinga "kujinyenyeza"ili wasipatwe na madhara kama haya.

Maana hakuna mwanaume anayeendelea kupambana na mwanamke aliyejishusha na kujinyenyekeza kwake.Najua ni vigumu mwanamke kufanya hivi hasa kwa mtu maskini.Ila ni bora afanye hivyo kwa muda hasa usiku ili kujiweka mbali na hatari halafu kukicha tafuta njia salama ya kumaliza tatizo.

Bahati mbaya kama ulikubali kuolewa,ukazaa na kuishi na mwanaume aliyejitoa kwako mkiwa bado mko na hali ya chini,ni hatari sana kumbadilikia baadae kwa sababu amekuwa siyo type yako tena.
Ni bora kukataa kuolewa kama huwezi kuishi kama mwanamke.

Kama una chembe chembe za uanaharakati wa haki sawa za kijinsia(feminism) ni bora usiwaze kabisa kuolewa.Hii dunia ya waafrika ni kitu tofauti sana na maisha yenu ya mitanfaoni
 
Hii misemo ya 50 kwa 50 ..... Inawavuruga dada zetu huwa wanajiona tupo sawa nao .....

But wanaume tunatisha tukiznguliwa .....hamnaga mwanaume mpole

Haya mambo huwa hayana formula kabisa.

Kweli hayana formula.
Ndio maana wapo wanawake wanaoua wanaume na wapo wanaume wanaoua wanawake

FORMULA NI MOJA TUU - MUME AMPENDE MKE NA MKE AMTII MUME

Unapokubali kuingia kwenye mahusiano kwa mapenzi pambana kuendelea kumpenda na kumheshimu mwenzio. Ukiona umefikia hatua ya kumpiga na kumjeruhi heri ufanye maamuzi ya kukaa pembeni na kumwacha aende.

Bora kuanza upya kuliko kuishia kuishi kwa chuki na hasira hadi kumtoa mtu uhai
 
Unataka mtu kuawa unahisi ana makosa?haya aloua anafikiriaje watoto kwenda kulelewa na ndugu na yeye kukaa jela maisha,watoto watamchukia milele
Mtu kama umeshindwana muache vuta chombo huna mamlaka ya kutoa uhai wake
 
Getrude Mongela hajawahi kuwa bachelor acha kupotosha,yupo zake makongo juu na mumewe kwenye ndoa zaidi ya miaka 50
Hana ndoa huyo alikuwa anahojiwa Mwaka Jana kwenye channel flan hivi ya television. Hana mume.
Anachukua tu bitchboy ..Hawa wanaume wavivu wasiotaka shida mjini
 
Ila kwanini umuue mwenzio??? Wote tunapaswa kujifunza kwamba ukiona huyo mtu uliyenaye huwezi kuwa nae tena just muache aende.. halafu pia aliyesema kuua ni solution nani?? Ni kujitafutia matatizo tu ambayo unaweza kuyaepuka.. mambo yenyewe haya hayana formula kama wanavyosema ni kumuomba Mungu tu lisitokee jambo kama hilo kwenye mahusiano yako..
 
Hii misemo ya 50 kwa 50 ..... Inawavuruga dada zetu huwa wanajiona tupo sawa nao .....

But wanaume tunatisha tukiznguliwa .....hamnaga mwanaume mpole
Sijawahi kukubali mwanamke kuwa sawa Na mwanaume.kwangu hii kitu haipo
Tuikumbuke misingi ya uumbaji(Adam)

Mwanamke akae kwenye nafasi yake Na mwanaume akae kwenye nafasi yake.mwanamke amheshimu mwanaume (mume)Na mwanaume ampende mwanamke(mke) ili kujenga familia iliyobora Na yenye upendo

Lakini kumuua mtu ni hatua mbaya mnooo tena ya kinyama 💔💔💔
 
Kweli hayana formula.
Ndio maana wapo wanawake wanaoua wanaume na wapo wanaume wanaoua wanawake

FORMULA NI MOJA TUU - MUME AMPENDE MKE NA MKE AMTII MUME

Unapokubali kuingia kwenye mahusiano kwa mapenzi pambana kuendelea kumpenda na kumheshimu mwenzio. Ukiona umefikia hatua ya kumpiga na kumjeruhi heri ufanye maamuzi ya kukaa pembeni na kumwacha aende.

Bora kuanza upya kuliko kuishia kuishi kwa chuki na hasira hadi kumtoa mtu uhai
Tatizo lenu nyinyi mkishaanza kuchepuka hua mnaleta dharau na ufidhuli kwa waume zenu, ila sisi tukichepuka hua ndio tunaongeza mapenzi na kupiga show kali za maana.
 
Tatizo lenu nyinyi mkishaanza kuchepuka hua mnaleta dharau na ufidhuli kwa waume zenu, ila sisi tukichepuka hua ndio tunaongeza mapenzi na kupiga show kali za maana.

Mwanamke akichepuka ni hatari mnoooo maana sio kwamba anahamisha mwili peke yake ila
anahamisha trust, mapenzi, hisia kwa hiyo kitachoenda kutokea ni dharau na ugomvi kitu ambacho mwanaume hawezi kuvumilia

Ila pia sio kitu rahisi sana mwanamke kuchepuka

Na ndio maana manual inasema "Muishi nao kwa akili"🙏
 
Mwanamke akichepuka ni hatari mnoooo maana sio kwamba anahamisha mwili peke yake ila
anahamisha trust, mapenzi, hisia kwa hiyo kitachoenda kutokea ni dharau na ugomvi kitu ambacho mwanaume hawezi kuvumilia

Ila pia sio kitu rahisi sana mwanamke kuchepuka

Na ndio maana manual inasema "Muishi nao kwa akili"[emoji120]
Umeona mwenyewe tofauti eeeehhhhh
-Mwanaume akichepuka ni advantage kwenye familia maana upendo unaongezeka kwa mkewe.
-Mwanamke akichepuka ni risk kwenye familia maana heshima na upendo kwa mumewe vinaondoka.
Ushari
Wanawake acheni kuchepuka ili mlinde ndoa na familia zenu.
Wanaume msiache kuchepuka ili kuongeza upendo na mechi kali kwa wake zenu.
 
Back
Top Bottom