whitehorse
JF-Expert Member
- Aug 29, 2009
- 2,565
- 4,432
Umeona mwenyewe tofauti eeeehhhhh
-Mwanaume akichepuka ni advantage kwenye familia maana upendo unaongezeka kwa mkewe.
-Mwanamke akichepuka ni risk kwenye familia maana heshima na upendo kwa mumewe vinaondoka.
Ushari
Wanawake acheni kuchepuka ili mlinde ndoa na familia zenu.
Wanaume msiache kuchepuka ili kuongeza upendo na mechi kali kwa wake zenu.
kuna mjaluo alitaka kunichinja chumbani kwake nilimtwisha coffee table mbona alipata fahamu akiwa emergency pale muhimbili . Huwa sifariki kirahisi kirahisirahisi π π . Nilivyoinua meza hata sielewi nilimbamiza ya kichwa kisha nikatoka nduki .ππ
Mapenzi huwa yanaisha . Yanachakaa , yanadhoofika . Yanafubaa ikifikia hatua hii lazima utolewe roho tu . ππΎππΎ Mtu anayekupenda hawezi kukutoa uhai . Ukiona vitisho vimeanza iwe mke au mume au hawara kila
Saa anasema "nitakuua " ujue penzi limeshaisha kitambo . Just Exit faster π π π π
Dogo, unaelewa unachozungumza?Hana ndoa huyo alikuwa anahojiwa Mwaka Jana kwenye channel flan hivi ya television. Hana mume.
Anachukua tu bitchboy ..Hawa wanaume wavivu wasiotaka shida mjini
Huyo kijana hajui alisemalo! Wakati wa corona kijana wake RC wa Arusha aliwaweka karantini mama na baba huko mwanza kwa taarifa yake. Aache kuongea asolijuaUsije ukawa umechanganya na Anna makinda,getrude mongela mumewe wako wote tena mzee hakosi miaka 80 namjua hadi jina
Nimemshangaa sana huyu mtuHuyo kijana hajui alisemalo! Wakati wa corona kijana wake RC wa Arusha aliwaweka karantini mama na baba huko mwanza kwa taarifa yake. Aache kuongea asolijua
Wale waliokuwa tayari ni watu wazima wanaelewa habari za mkutano wa Beijing na aliyeiwakilisha Tanzania vidole juu.Aliachwa?? Tupe story
Sasa kwanini ugawe utamu kwa wengine huku ukimaindiwa eti coffee table.kuna mjaluo alitaka kunichinja chumbani kwake nilimtwisha coffee table mbona alipata fahamu akiwa emergency pale muhimbili . Huwa sifariki kirahisi kirahisirahisi π π . Nilivyoinua meza hata sielewi nilimbamiza ya kichwa kisha nikatoka nduki .ππ
Mapenzi huwa yanaisha . Yanachakaa , yanadhoofika . Yanafubaa ikifikia hatua hii lazima utolewe roho tu . ππΎππΎ Mtu anayekupenda hawezi kukutoa uhai . Ukiona vitisho vimeanza iwe mke au mume au hawara kila
Saa anasema "nitakuua " ujue penzi limeshaisha kitambo . Just Exit faster π π π π
Ukisemacho nikweli mkuu,nakunukuu kama huwezi kuishi kama mwanamke niheri usiolewe,katika maisha yandoa kuna kuolewa,nakuoa,hakuna kuoana,kwahyo majukum ya MTU anaeolewa yanajulikana,namajukumu ya muoaji yanajulikana ktk jamii zetu zakiafrica,uanaharakati katika ndoa,nimoja yachangamoto kubwa Sana ktk ndoa zaleo,maneno kama utajua mwenyewe,nimesema sitaki,kobo,mara mwanaume gani unagubu hivyo mbona hauko kama wenzako,namambo yanayofanana nahayo nimiongoni mwa hatari zinazoweza pelekea magomvi yanayopeleka vilema navifoNimepokea kwa masikitiko makubwa kisa cha mauaji ya muuguzi Mirembe aliyeuawa na mumewe kikatili.
Sababu pekee inayoweza kumfanya mwanaume kufanya ukatili huu ni wivu wa mapenzi.
Bahati mbaya wanawake huwa wanajisahau na kudhani mtu waliyezoea kumuona mkimya au boya, hawezi kuwafanya chochote.Hii huwafanya washindwe hata kutumia silaha kubwa ya kinga "kujinyenyeza"ili wasipatwe na madhara kama haya.
Maana hakuna mwanaume anayeendelea kupambana na mwanamke aliyejishusha na kujinyenyekeza kwake.Najua ni vigumu mwanamke kufanya hivi hasa kwa mtu maskini.Ila ni bora afanye hivyo kwa muda hasa usiku ili kujiweka mbali na hatari halafu kukicha tafuta njia salama ya kumaliza tatizo.
Bahati mbaya kama ulikubali kuolewa,ukazaa na kuishi na mwanaume aliyejitoa kwako mkiwa bado mko na hali ya chini,ni hatari sana kumbadilikia baadae kwa sababu amekuwa siyo type yako tena.
Ni bora kukataa kuolewa kama huwezi kuishi kama mwanamke.
Kama una chembe chembe za uanaharakati wa haki sawa za kijinsia(feminism) ni bora usiwaze kabisa kuolewa.Hii dunia ya waafrika ni kitu tofauti sana na maisha yenu ya mitanfaoni
Nimepokea kwa masikitiko makubwa kisa cha mauaji ya muuguzi Mirembe aliyeuawa na mumewe kikatili.
Sababu pekee inayoweza kumfanya mwanaume kufanya ukatili huu ni wivu wa mapenzi.
Bahati mbaya wanawake huwa wanajisahau na kudhani mtu waliyezoea kumuona mkimya au boya, hawezi kuwafanya chochote.Hii huwafanya washindwe hata kutumia silaha kubwa ya kinga "kujinyenyeza"ili wasipatwe na madhara kama haya.
Maana hakuna mwanaume anayeendelea kupambana na mwanamke aliyejishusha na kujinyenyekeza kwake.Najua ni vigumu mwanamke kufanya hivi hasa kwa mtu maskini.Ila ni bora afanye hivyo kwa muda hasa usiku ili kujiweka mbali na hatari halafu kukicha tafuta njia salama ya kumaliza tatizo.
Bahati mbaya kama ulikubali kuolewa,ukazaa na kuishi na mwanaume aliyejitoa kwako mkiwa bado mko na hali ya chini,ni hatari sana kumbadilikia baadae kwa sababu amekuwa siyo type yako tena.
Ni bora kukataa kuolewa kama huwezi kuishi kama mwanamke.
Kama una chembe chembe za uanaharakati wa haki sawa za kijinsia(feminism) ni bora usiwaze kabisa kuolewa.Hii dunia ya waafrika ni kitu tofauti sana na maisha yenu ya mitanfaoni