Wanawake kama hawa wapo wapi jamani?

Wanawake kama hawa wapo wapi jamani?

nitazoea

Senior Member
Joined
Mar 15, 2017
Posts
195
Reaction score
237
Lugha ya picha
IMG_20190628_224404_565.jpg
 
Tusidanganyane. Siku hizi "no money no honey" Nani akuite "honey" kama huna pesa? Kama nyie wasichana mnasema kamuangalii pesa mbona mnataka harusi zenu ziwe za gharama ambayo ingetosha kiwanja na nyumba ya room mbili?
 
Back
Top Bottom