Wapo wamejaa teleee, sema hamuwataki.
Aisee nibahatike nikupateTupooo, pesa zinatafutwa tuu ili mradi awe na mipango inayotekelezeka lakini, siyo ya kufikirika[emoji3] [emoji3]
Wapo wengi tu. Sakayo hebu njoo huku mara mojaLugha ya pichaView attachment 1141524
Siku hizi una busara sana. Nimetokea kukupenda japo ulinitukana sana siku ile. Nimekusamehe lakiniTupooo, pesa zinatafutwa tuu ili mradi awe na mipango inayotekelezeka lakini, siyo ya kufikirika[emoji3] [emoji3]
Hapo hapo ulipo angalia kushoto kwako yupo.Nitumie mmoja nitamkuta pm..
Lugha ya pichaView attachment 1141524