Wanawake kama hawa wapo wapi jamani?

Tusidanganyane. Siku hizi "no money no honey" Nani akuite "honey" kama huna pesa? Kama nyie wasichana mnasema kamuangalii pesa mbona mnataka harusi zenu ziwe za gharama ambayo ingetosha kiwanja na nyumba ya room mbili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…