Mama Mzungu
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 215
- 369
Sasa tutawatakaje wakati mmeshaolewa? Au mnataka kuchepuka?
Oh basi ngoja nifanye juhudi. Naruhusiwa au unataka wazungu?Jamani mbona mambo bado [emoji16]. Hofu yako tu.
Yaani wakati mwingine unatamani adi upige mtu vibao sijui wanatoa wapo izo nidhamu ..yaani imefikia hatua mwanamke anashindwa kubeg ndani ya familia kisa hizi mamboSiku hizi mitoto mingine inatuhibisha unakuta jamaa limevaa kipuli sikioni la lina piga goti et kumvalisha pete mwanamke.
i beg your pardon😂😂😂Wapo wamejaa teleee, sema hamuwataki.
Hahah kama unatongozea Mwenge au maeneo ya Posta sahau kuwapata.Wapo tena wengi sana mzee baba,tunapishana nao mjini kila siku.
Sema tu kuwatambua ndiyo shida
Mi ndio nawapenda sana nyie washamba jmn wenye uzuri wa asili bila makeups. Wale wabandika kucha hawanisisimui kabisa yani😂Tupo Sema hamtutaki, mnatuona washamba.
kushoto kuna babu hapa, acha ukichaa😂😂😂Hapo hapo ulipo angalia kushoto kwako yupo.
Huyo huyo babu ongea nae, atakupa maarifa.k
kushoto kuna babu hapa, acha ukichaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Ooooh yeah!i beg your pardon[emoji23][emoji23][emoji23]
Tumejaa tele
Nature ya mazingira aliyokulia mtu pia huchangia
tupo tumejaa tele hatuna chura tatzo
Ni tamaduni zetu hizoNikupate sasa kama ni wa hivo
Ni tamaduni zetu hizo
Kule kijijini kwetu Hadi watu wazima hufanya hivyo..anaweza akawa anapita njiani atasimama anapiga magoti anasalimia..
Japo kwa miaka hii hizi tamaduni zimeanza kufifia