Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Nimekuja, nini kinajri humu?Nawaalika miss chagga joanah miss_blossom Nifah atoto Miss Natafuta Sweetiepie Heaven Sent Evelyn Salt rubii Dinazarde LadyAJ Na Wanawake wooote wa humu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuja, nini kinajri humu?Nawaalika miss chagga joanah miss_blossom Nifah atoto Miss Natafuta Sweetiepie Heaven Sent Evelyn Salt rubii Dinazarde LadyAJ Na Wanawake wooote wa humu...
Mama kanikataza.Unaogopa kusemewa ? Hahah
Ukiona hivyo ujue humfikishi, so anaona michosho tu.Si huyo mwanamke mwenzenu anavyotoa dozi
Duuh, mkuu umeongea kwa code? Au nimimi pekeangu ndo sijaelewa?Braza kweli mi nilikuwa naambiwa twende tukaoge wakati mi maji hata sijayakinga kwenye beseni lake [emoji17] Hali hii imenifanya hata nishindwe kutumia mobile pussy wa corner bar naona nitapoteza pesa yangu bila kuweka maji kwenye beseni.
Hela zipi sasa!! Unadhani mtoaji ungeulizwa hayo maswali!! Mbona mada ingegeuka hii.Eheee Nyie kwani hela zetu haziwafikishi? Au mnatakaje?
Hakuna mtu ambae pesa zinamtosha.Nyie wanawake tangulini hela zetu zikawatosha?