Wanawake kuaibisha wanaume wenye maumbile madogo (vibamia), ikiwa ni kaka yako kazaliwa na hivi utajisikiaje?

Mule mule umepita, wote tunasemana.
 
La Saba mlishaoa sabuniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Watu wengi wako sawa tu SEMA tofauti ni upimaji mtu anajipima anavyojiskia yeye then anajicomfort kuwa yupo juu pasipo kujali kuwa aina tofauti za upimaji zitatoa matokeo tofauti. And off course sio kila She anapenda madude makubwa it's all in guys' imagination.


"In the name of fantasy, People suffer more in imagination than in reality"
 
Na wanaume tuache maneno!
Utasikia yaani Hana maajabu, nimepiga shoo mbaya, imeingia pwaaah mpaka mwisho!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…