Mahari hulipwa na familia ya mtoto wa kiume kwa familia ya mtoto wa kike.
Sio sawa kwa mtoto wa kiume kuhangaikia mahari yake mwenyewe na familia yake wakajiweka kando. Wanatakiwa kutafuta pesa na kwenda nae kuposa mchumba wake na kulipia mahari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.