Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Wasalaa wana Mapishi.
Mimi ni mmoja wa viumbe ambao hawapendi mafuta na chakuLa kinacho zidi mafuta huwa sili. Lakini nimekuwa nikijiuliza chakula kitamu au kizuri ni kile kilicho ng'arishwa na mafuta mengi? Na chakula hakiwezi kuwa kitamu bila kung'aa?
Kuna sehemu fulani nilikaribishwa na nili ambiwa chakuala tayari kwakeli nilivyo funua hot pot daaa nilikutana na nyama iliyo sheheni mafuta,daaa kama haitoshi wali nao ulikuwa umeshehemi mafuta ya kutosha.
Kwakweli siku hiyo nilikosa raha ya chakula japo ilinibidi nile kidogo maana pengine ingeleta picha hisiyo nzuri kwa wenyeji wangu.
Cha kushangaza zaidi Mpishi wa siku hiyo alisifiwa sana na kuambiwa amepika chakula cha hadhi ya hotel na kitamu sana.
daaa kwekweli niliendelea kujiuliza hivi Chakula kizuri au kitamu lazima kisheheni mafuta?
Na hili kama limekuwa tatizo au tabia ya wapishi wengi majumbani ,Migahawani na kwenye mabaha,matumizi ya mafuta mengi yamekuwa kama fashion na ndio kuPendezesha chakula?
Kuna mtu mwingine alinikaribisha chakula na huyu nilimwambia mapema kabisa huwa sipendelei mafuta na akasema hakuna shida.
Lakini nilipo fika mezani duu nilishangazwa kuambiwa kuwa mafuta haya si mengi na hata nyama nilishindwa kula maana kwakweli mafuta yalikuwa mengi.
Nilicho gundua kuwa ni vigumu kutenganisha matumizi ya mafuta mengi na Mapishi ya wanawake walio wengi.
Mimi nilisha acha kula nyama iliyo ungwa kwa mchuzi maana katika mboga inayo washinda wanawake wengi kuweka mafuta kiasi ni nyama.
Unaweza kukuta mtu ana kula chakula midomo ina ng'aa huku mikono ina churuzika mafuta!
Yani bado najiuliza hivi Mapishi bila mafuta mengi hayawezekani?
Wanajamvi wote mnakaribishwa kuchangia, hilo neno wanawake lisi wabane,nimelitumia hili kuonesha msisitizo maana mara nyingi wanawake ndio wanakuwa wapishi.
Wanaume wenzangu nanyi mna karibishwa maana najua nanyi huwa mnapika na wengine huwa mnawasaidia akanana kupika.
Mimi huwa napika lakini wale wapenzi wa mafuta mengi mimi ni adui yao namba moja.
Karibuni Wana Mapishi.
Mimi ni mmoja wa viumbe ambao hawapendi mafuta na chakuLa kinacho zidi mafuta huwa sili. Lakini nimekuwa nikijiuliza chakula kitamu au kizuri ni kile kilicho ng'arishwa na mafuta mengi? Na chakula hakiwezi kuwa kitamu bila kung'aa?
Kuna sehemu fulani nilikaribishwa na nili ambiwa chakuala tayari kwakeli nilivyo funua hot pot daaa nilikutana na nyama iliyo sheheni mafuta,daaa kama haitoshi wali nao ulikuwa umeshehemi mafuta ya kutosha.
Kwakweli siku hiyo nilikosa raha ya chakula japo ilinibidi nile kidogo maana pengine ingeleta picha hisiyo nzuri kwa wenyeji wangu.
Cha kushangaza zaidi Mpishi wa siku hiyo alisifiwa sana na kuambiwa amepika chakula cha hadhi ya hotel na kitamu sana.
daaa kwekweli niliendelea kujiuliza hivi Chakula kizuri au kitamu lazima kisheheni mafuta?
Na hili kama limekuwa tatizo au tabia ya wapishi wengi majumbani ,Migahawani na kwenye mabaha,matumizi ya mafuta mengi yamekuwa kama fashion na ndio kuPendezesha chakula?
Kuna mtu mwingine alinikaribisha chakula na huyu nilimwambia mapema kabisa huwa sipendelei mafuta na akasema hakuna shida.
Lakini nilipo fika mezani duu nilishangazwa kuambiwa kuwa mafuta haya si mengi na hata nyama nilishindwa kula maana kwakweli mafuta yalikuwa mengi.
Nilicho gundua kuwa ni vigumu kutenganisha matumizi ya mafuta mengi na Mapishi ya wanawake walio wengi.
Mimi nilisha acha kula nyama iliyo ungwa kwa mchuzi maana katika mboga inayo washinda wanawake wengi kuweka mafuta kiasi ni nyama.
Unaweza kukuta mtu ana kula chakula midomo ina ng'aa huku mikono ina churuzika mafuta!
Yani bado najiuliza hivi Mapishi bila mafuta mengi hayawezekani?
Wanajamvi wote mnakaribishwa kuchangia, hilo neno wanawake lisi wabane,nimelitumia hili kuonesha msisitizo maana mara nyingi wanawake ndio wanakuwa wapishi.
Wanaume wenzangu nanyi mna karibishwa maana najua nanyi huwa mnapika na wengine huwa mnawasaidia akanana kupika.
Mimi huwa napika lakini wale wapenzi wa mafuta mengi mimi ni adui yao namba moja.
Karibuni Wana Mapishi.