Mrs Kharusy
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 1,244
- 671
Hataa maandazi ya kukaanga hayanogi sana kama ya kubake......huwa nusy nakaanga nusu na bake...
Hayo ya juu ....yale ya nyumbani hayo!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hataa maandazi ya kukaanga hayanogi sana kama ya kubake......huwa nusy nakaanga nusu na bake...
dada chips za kubake znapikwaje?nataman kujua
Kuna namna nyingi za kuzipika.
Mie hukata viazi kama kawaida
Paka bakin tin yako olive oil kidooogo Then nanyunyuzia chumvi kidogo, pilipili manga na swaumu kidunchu kama utapenda (maana ikiungua huwa chungu, sishauri saaana kwenye swaumu) tia kwenye oven.
Hutotamani tena chips za mafuta ukianza kula hizi