Wanawake kuolewa na wanaume wadogo hivi imekuwa fasheni!

Dogo janja na irine uwoya

Aunt Ezekiel na moze iyobo

Zari na diamond

Shilole na Uchebe

Hiyo ni mifano ya watu mashuhuri!
Mitaani ndo balaa!

Je kuna tatizo sehemu!
Ina maana watoto ni watamu zaidi au ndo habari ya mjini!
Bila kusahau flora mbasha
 
'mtoto' lol,
kama amebalehe na kavuka miaka 18 ana utoto gani huyo.

Let them enjoy their life.
 
Usiwafananishe wanawake na vitu vya kipuuzi!!
 
Nayo n fasheni.
Inabidi tukaze mwendo ili twende na wakati
 
Kula mtu na maisha yake aliyochagua wewe fanya yako mkuu,vinginevyo utapoteza muda kujadili ya walimwengu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…