The Intelligent
JF-Expert Member
- Dec 27, 2013
- 2,459
- 824
Heheheeh..jembe na wisest mmeniua mbavu yaan sijacheka siku nzma ilikuwa nifunge siku hivi hivi mmetengua my bad mood ..uwii...msigombane jamani
Impact ya haki sawa....na bado wataota hadi nanii...
hahahahahhaKutafuna sana mifupa .....
lol na mimi ninalo na situmii vipodozi sana MziziMkavu COME This way
Huwa unashave mwenyewe au unaenda saloon? Kuna imani kwamba Wanawake wenye ndevu wana bahati sana kwenye maisha, je na wewe unaona hivyo katika maisha yao?
Tatizo la wanawake kuwa na ndevu linazidi kukua kwa kasi, ni nini hasa chanzo chake?kama ni kutokuwiana(balance) kwa vichocheo(hormones) ama mwanamke kuwa na hormones za kiume nyingi kuliko za kike, nini chanzo chake hasa kwa kizazi hiki tofauti na vizazi vilivyotangulia maana sasa hivi si ajabu kumkuta mwanamke katapakaa ndevu na wengine hadi mustachi?.
Tatizo la wanawake kuwa na ndevu ni kuwa na ( hormones) nyingi na wala sio kitu cha kushangaza ni kawaida tu aende hospitali.@shansarielol na mimi ninalo na situmii vipodozi sana MziziMkavu COME This way