Pleasure
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 279
- 99
siku hizi imekua too much mi nilksikia ni vipodoz na madawa ya uzazi wa mpango
Ni kweli siku hizi imezidi. Lakini pia siyo lazima hiyo madawa ya uzazi na vipodozi maana kuna watu nawafahamu ni natural ngozi zao na nywele pia lakini wana ndevu