Tena na wewe usipende kula kuku wa kisasa na haya mavyakula ya kwenye makopo sana, utajikuta waota matiti mchana kweupe!Wanawake wenye ndevu wanaanza kuongezeka kwa kasi kitu kinacholeta mkanganyiko. Kitu gani kinawafanya nyie wanawake muote ndevu?
Tena na wewe usipende kula kuku wa kisasa na haya mavyakula ya kwenye makopo sana, utajikuta waota matiti mchana kweupe!
Vyakula natural vinadharaulika sana siku hizi, watu wanatafuta ladha zaidi, hawajui kuwa vitamu vyote vina madhara makubwa!
Kuna wenye ndevu za kuzaliwa(unaowazungumzia wewe) na zile zinajiotea uzeeni ambazo nadhani ndizo anazozizungumzia nitonye, amini usiamini kuna vipodozi vya china mwanamke akipaka anaota ndevu, tena wengine wanapata 'o' kabisa!Ila nimewahi kusikia wanawake wenye ndevu ni watamu kweli. Sijui kuna ukweli gani. Kama kuna ukweli bora wacha waongezeke.
Hahaha! Umeonae?..Kweli kabisa vitamu vyote vinamadhara, mfano mzuri ni Naniliuu...
Lol, Mau huyo ni mdada kweli au ni mkaka mdada?Juzi nimemuona madada mzuri kweli lakini ana nywele kifuani nae dah! sasa sijui imekaaje hii mambo?
Lol, Mau huyo ni mdada kweli au ni mkaka mdada?
Tena na wewe usipende kula kuku wa kisasa na haya mavyakula ya kwenye makopo sana, utajikuta waota matiti mchana kweupe!
Vyakula natural vinadharaulika sana siku hizi, watu wanatafuta ladha zaidi, hawajui kuwa vitamu vyote vina madhara makubwa!
Itolee maelezo mkuu basi
Lol, sipati picha, daaah!Ni mdada aisee , sijui alishindwa nini kuzi trim
Kama nakutisha endelea kula uone kama hujaanza kunyonyoka ndevu na kuota matiti! Ntakuachaje kwenye mataa?...lolHee wanitisha mbona hivyo!
Kama nakutisha endelea kula uone kama hujaanza kunyonyoka ndevu na kuota matiti! Ntakuachaje kwenye mataa?...lol
ooops nyingine za asili
Wanawake wenye ndevu wanaanza kuongezeka kwa kasi kitu kinacholeta mkanganyiko. Kitu gani kinawafanya nyie wanawake muote ndevu?
Good! Me loves you!Kuanzia leo sili kabisa hao kuku ushauri wako nimeupitisha 100%
Kuanzia leo sili kabisa hao kuku ushauri wako nimeupitisha 100%
Hizi sio mbaya firstlady1 afu zipo kwa uchache sana, kuna zile za kujiotea kwa sababu ya vyakula, vyakunywa na vipodozi, zimekuwa nyingi siku hizi!ooops nyingine za asili