Wanawake kuota Ndevu na Vipara: Chanzo, tahadhari na tiba yake

Wanawake kuota Ndevu na Vipara: Chanzo, tahadhari na tiba yake

Learn from mzizimkavu how to promote your daawa! Elezea ina vitu gani na kama havina madhara.

Wanawake kwa kuwa desperate, utazivuna za chap chap. Kila la kheri aisee
Dawa mpya kabisa ya tatizo sugu linalowasumbua wanawake kwa sasa ya kuondoa ndevu dozi kamili kwa mwenye tatizo hilo inachukua Sh 150,000 tuu ni PM ...
 
hakuna picha yke mkuu mana waliowengi ni mkorogo ndio shida..
 
wanasema eti na hizo ndevu zimetofautiana, kama ni origino lakini si za mkorogo, mwanamke akiwa nazo ni ishara ya bahati (utajiri) pia akiwa na sharubu (zile za pembeni kwa midomo) huyo bahati yake ni zaidi ya yule mwenye za kawaida! kuna ukweli wowote?
 
Mkuu mie ni man nina ndevu nyingi kiasi kwamba znataka kufunika uso wangu wote je naweza kuzidhibiti?
 
Ukiachilia mbali ndevu za urithi, kumekuwa na kasi ya wanawake kuota ndevu tena wakiwa watu wazima, tatizo ni nini?

Leo nimekutana ghafla na mdada mmoja niliyesoma naye UDSM, kama miaka 2 iliyopita, huyu dada alikuwa mrembo sana, cha ajabu ameota sharubu kama za kambale! Nikawa nasalimiana naye, anaona aibu na kuinama!

Nilipoachana naye, nikaenda ofisi moja, kuingia tu mlangoni, nikakutana na wadada 3, dah, wana sharubu sio kidogo! Nikaona kama siku yangu ya leo ina so na mood ikaanza kuswing!

Watu mliooa wadada wenye sharubu, how do you copy with the situation? Hasa ikiwa sharubu zimedevelop ukubwani?

Na je, nyie wadada sharubu mnazito wapi?

Sipendezwi kuona wadada wakiwa na sharubu! It looks awkward to me na inaniondolea munkari ya kuinteract nao sexually!
 
We una fikiria nini labda kama ndyo ya shatokea hayo..asilimia kubwa ni vyakula na mikorogo wanayo tumia.

Wanawake pia wana hormone za kiume lakini kiasi kidogo sana. Hizo hormone zikizidi kiwango hicho ndio huota ndevu.
Na sawa na wanaume walivyo na hormone za kike lakini kiasi kidogo sana. Hormone hizo zikizidi, mwanaume huwa na chuchu au maziwa makubwa.
Ni suala la maumbile tu
 
^^
Kuna mmoja anazo, nampenda toka moyoni na sababu mojawapo ni jinsi zinavyomuongezea mvuto kiasi cha kumfanya awe wa pekee!
^^
 
Back
Top Bottom