Ukiachilia mbali ndevu za urithi, kumekuwa na kasi ya wanawake kuota ndevu tena wakiwa watu wazima, tatizo ni nini?
Leo nimekutana ghafla na mdada mmoja niliyesoma naye UDSM, kama miaka 2 iliyopita, huyu dada alikuwa mrembo sana, cha ajabu ameota sharubu kama za kambale! Nikawa nasalimiana naye, anaona aibu na kuinama!
Nilipoachana naye, nikaenda ofisi moja, kuingia tu mlangoni, nikakutana na wadada 3, dah, wana sharubu sio kidogo! Nikaona kama siku yangu ya leo ina so na mood ikaanza kuswing!
Watu mliooa wadada wenye sharubu, how do you copy with the situation? Hasa ikiwa sharubu zimedevelop ukubwani?
Na je, nyie wadada sharubu mnazito wapi?
Sipendezwi kuona wadada wakiwa na sharubu! It looks awkward to me na inaniondolea munkari ya kuinteract nao sexually!