Tayukwa
JF-Expert Member
- Dec 11, 2014
- 2,178
- 4,410
Salaam wana JF
Ndugu zangu naomba tusaidiane ktk hili la hawa wenzetu (wanawake) katika kukithiri kwa uotaji wa ndevu.
Miaka ya tisiini hivi nilikuwa na shangazi yangu ambaye yeye alikuwa na ndevu kama tano hivi kidevuni kwake, hali hiyo ilimfanya aishi kwa hofu hasa kipindi anaposafiri kwani alikuwa anahofia kunyolewa ikiwa atalala ndani ya gari kwa zile imani kuwa mwanamke akiwa na ndevu basi zile ndevu zake ukizipata utakuwa tajiri (binafsi naona ni imaan potofu). Sasa tatizo liko hapa, kipindi kile wanawake wenye ndevu walikuwa wachache mno ukilinganisha na miaka hii.
Kisayansi mwanamke akipata baadhi ya homoni za kiume basi huwa na baadhi ya sifa au vitu ambavyo mwanaume anavyo mfano hizo ndevu. Sasa kipindi hiki hizi homoni za kiume zimekuwa nyingi sana kwa wanawake au tatizo ni nini hapa?.
Je, kuna baadhi ya vyakula huchangia hali hii??
Kuna baadhi ya watu nimewasikia wanasema kemikali zilizomo kwenye baadhi ya lotion na cream zao huchangia vipi kuna ukweli wowote katika hili?
Ni umri gani hasa hushambuliwa na janga hili?
Je, nikweli kuwa tatizo hili ni la kurithi?
Je kuna baadhi ya wanawake hufurahia hali hii?
Wanaume mlioowa wanawake ambao wana ndevu na Garden love huwa mna changamoto gani na mna enjoy vipi kwa wake zenu wenye hali hizo?
Jana nilikutana na mdada mmoja akiwa na umri kati ya miaka 19-22 lakini tayari ameshaanza kushambuliwa na hali hii ya kuwa na ndevu, ndipo liliponijia wazo hili la kutaka kupata ufafanuzi wa kina kwa wenye uelewa katika hili.Mfano mwingine ni yule kamanda wa polisi nadhani wa Ilala au Temeke lakini sina hakika sana lakini nae ana tatizo hili.
Tuwashauri nini wafanye ili kukabiriana nalo, na wale ambao hawana kipi au nini wafanye ili kuepuka. Na kinyume chake kwa wale wanawake wote wanaohitaji kuwa na ndevu nini wafanye ili wazipate maana akili zao..........
Ndugu zangu naomba tusaidiane ktk hili la hawa wenzetu (wanawake) katika kukithiri kwa uotaji wa ndevu.
Miaka ya tisiini hivi nilikuwa na shangazi yangu ambaye yeye alikuwa na ndevu kama tano hivi kidevuni kwake, hali hiyo ilimfanya aishi kwa hofu hasa kipindi anaposafiri kwani alikuwa anahofia kunyolewa ikiwa atalala ndani ya gari kwa zile imani kuwa mwanamke akiwa na ndevu basi zile ndevu zake ukizipata utakuwa tajiri (binafsi naona ni imaan potofu). Sasa tatizo liko hapa, kipindi kile wanawake wenye ndevu walikuwa wachache mno ukilinganisha na miaka hii.
Kisayansi mwanamke akipata baadhi ya homoni za kiume basi huwa na baadhi ya sifa au vitu ambavyo mwanaume anavyo mfano hizo ndevu. Sasa kipindi hiki hizi homoni za kiume zimekuwa nyingi sana kwa wanawake au tatizo ni nini hapa?.
Je, kuna baadhi ya vyakula huchangia hali hii??
Kuna baadhi ya watu nimewasikia wanasema kemikali zilizomo kwenye baadhi ya lotion na cream zao huchangia vipi kuna ukweli wowote katika hili?
Ni umri gani hasa hushambuliwa na janga hili?
Je, nikweli kuwa tatizo hili ni la kurithi?
Je kuna baadhi ya wanawake hufurahia hali hii?
Wanaume mlioowa wanawake ambao wana ndevu na Garden love huwa mna changamoto gani na mna enjoy vipi kwa wake zenu wenye hali hizo?
Jana nilikutana na mdada mmoja akiwa na umri kati ya miaka 19-22 lakini tayari ameshaanza kushambuliwa na hali hii ya kuwa na ndevu, ndipo liliponijia wazo hili la kutaka kupata ufafanuzi wa kina kwa wenye uelewa katika hili.Mfano mwingine ni yule kamanda wa polisi nadhani wa Ilala au Temeke lakini sina hakika sana lakini nae ana tatizo hili.
Tuwashauri nini wafanye ili kukabiriana nalo, na wale ambao hawana kipi au nini wafanye ili kuepuka. Na kinyume chake kwa wale wanawake wote wanaohitaji kuwa na ndevu nini wafanye ili wazipate maana akili zao..........