Wanawake kupenda wanaume weusi, wanaume weupe kosa letu nini?

Wanawake kupenda wanaume weusi, wanaume weupe kosa letu nini?

black is the colour for confident niggas
a9c9625455a9ed5dc716de4807b68e67.jpg
 
Leo katika pitapita zangu nimekutana na wakaka watanashati watatu,mmoja mweupe,mwingine maji ya kunde na kuna huyu black handsome yani kaka mweusi ana weusi ule wa kung'aa amepanda hewani kifua kimetanuka kiaina daah nimejikuta nimedata nilikua na rafiki zangu wanne nikajua kanivutia mimi tu kumbe nao wamevutiwa na mweusi..wengine wale nao wamepanda hewani vifua vipo pia but mweusi ndo top yani tukaanza kupiga kura zote zikaenda kwa black handsome!
hizi ni ID za kike lakini kwenye keyboard ni mwanaume ndie ana type so msisononeke wanaume weupe kikubwa tafuta pesa mtoto wa kiume
 
Leo katika pitapita zangu nimekutana na wakaka watanashati watatu,mmoja mweupe,mwingine maji ya kunde na kuna huyu black handsome yani kaka mweusi ana weusi ule wa kung'aa amepanda hewani kifua kimetanuka kiaina daah nimejikuta nimedata nilikua na rafiki zangu wanne nikajua kanivutia mimi tu kumbe nao wamevutiwa na mweusi..wengine wale nao wamepanda hewani vifua vipo pia but mweusi ndo top yani tukaanza kupiga kura zote zikaenda kwa black handsome!
Teh teh teh nitumie PM mchumbaaaa
 
hizi ni ID za kike lakini kwenye keyboard ni mwanaume ndie ana type so msisononeke wanaume weupe kikubwa tafuta pesa mtoto wa kiume
Kweli kabisa..... nashangaaa lani mtoto wa kiume anatype eti kavutiwa na kidume chenzake..... hii dunia hii
 
unajua ukiwa na njaa..vitunguu swaumu na maganda ya limao waweza kijikuta unayasifia ni matamu.. kumbe ni njaa ni tuu...
basi poa...
 
Leo katika pitapita zangu nimekutana na wakaka watanashati watatu,mmoja mweupe,mwingine maji ya kunde na kuna huyu black handsome yani kaka mweusi ana weusi ule wa kung'aa amepanda hewani kifua kimetanuka kiaina daah nimejikuta nimedata nilikua na rafiki zangu wanne nikajua kanivutia mimi tu kumbe nao wamevutiwa na mweusi..wengine wale nao wamepanda hewani vifua vipo pia but mweusi ndo top yani tukaanza kupiga kura zote zikaenda kwa black handsome!
weka picha
 
Ila hata mimi one day nilisikia wanaambiza kidume kikiwa cheusi halafu handsome kinavutia.Ila tusikate tamaa wanaume weupe tupambane na hali hii wakati wetu wa kuheshimika bado haujafika
 
Back
Top Bottom