Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hizi ni ID za kike lakini kwenye keyboard ni mwanaume ndie ana type so msisononeke wanaume weupe kikubwa tafuta pesa mtoto wa kiumeLeo katika pitapita zangu nimekutana na wakaka watanashati watatu,mmoja mweupe,mwingine maji ya kunde na kuna huyu black handsome yani kaka mweusi ana weusi ule wa kung'aa amepanda hewani kifua kimetanuka kiaina daah nimejikuta nimedata nilikua na rafiki zangu wanne nikajua kanivutia mimi tu kumbe nao wamevutiwa na mweusi..wengine wale nao wamepanda hewani vifua vipo pia but mweusi ndo top yani tukaanza kupiga kura zote zikaenda kwa black handsome!
Teh teh teh nitumie PM mchumbaaaaLeo katika pitapita zangu nimekutana na wakaka watanashati watatu,mmoja mweupe,mwingine maji ya kunde na kuna huyu black handsome yani kaka mweusi ana weusi ule wa kung'aa amepanda hewani kifua kimetanuka kiaina daah nimejikuta nimedata nilikua na rafiki zangu wanne nikajua kanivutia mimi tu kumbe nao wamevutiwa na mweusi..wengine wale nao wamepanda hewani vifua vipo pia but mweusi ndo top yani tukaanza kupiga kura zote zikaenda kwa black handsome!
Kweli kabisa..... nashangaaa lani mtoto wa kiume anatype eti kavutiwa na kidume chenzake..... hii dunia hiihizi ni ID za kike lakini kwenye keyboard ni mwanaume ndie ana type so msisononeke wanaume weupe kikubwa tafuta pesa mtoto wa kiume
Khaa! Ila Da Prince ni mweusi mpaka basi. Yule nadhani hata damu yake ni nyeusi tii!Baraka da Prince ugonjwa wa binadamu km kapeace,
Rangi ya ngozi yake tu sio mengine wakuu
Sasa yule ni bomba sana akizaa na ke jeupe Toto liwe la kike litakalotoka hapo ni tamu balaaKhaa! Ila Da Prince ni mweusi mpaka basi. Yule nadhani hata damu yake ni nyeusi tii!
Sasa kwanini watumie I'D za kikehizi ni ID za kike lakini kwenye keyboard ni mwanaume ndie ana type so msisononeke wanaume weupe kikubwa tafuta pesa mtoto wa kiume
weka pichaLeo katika pitapita zangu nimekutana na wakaka watanashati watatu,mmoja mweupe,mwingine maji ya kunde na kuna huyu black handsome yani kaka mweusi ana weusi ule wa kung'aa amepanda hewani kifua kimetanuka kiaina daah nimejikuta nimedata nilikua na rafiki zangu wanne nikajua kanivutia mimi tu kumbe nao wamevutiwa na mweusi..wengine wale nao wamepanda hewani vifua vipo pia but mweusi ndo top yani tukaanza kupiga kura zote zikaenda kwa black handsome!
Kosa lao si ndio hilo hawana mishuzista asa unauliza nini tena mkuu [HASHTAG]#scooman[/HASHTAG]Mbona hata sisi tunapenda mishuzi kwani wasio na mishuzi kosa lao nini
HahahahTunakuweka kwnybkundi la boga za majani