Wanawake kupenda wanaume weusi, wanaume weupe kosa letu nini?

Wanawake kupenda wanaume weusi, wanaume weupe kosa letu nini?

Nyerere alisema ubaguzi unaanza taratibu.
Mlianza na ufupi
ikaja six pack
mara vitambi
tena vimbao mbao
ikafuatia vibamia
leo rangi,
tusipokua makini tutaanza kuangaliwa viuno. Dereva simama nashukia kibiti.
 
Nyerere alisema ubaguzi unaanza taratibu.
Mlianza na ufupi
ikaja six pack
mara vitambi
tena vimbao mbao
ikafuatia vibamia
leo rangi,
tusipokua makini tutaanza kuangaliwa viuno. Dereva simama nashukia kibiti.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] basi tumeacha aah aah
 
mweusi mwacheni aitwe mweusi aisee,sa mweupeee...anakuwa mweupe kote chini mweusi...sijui kwanini? au mkorogo? maana mkorogo nao haujawai mwacha mtu salama
 
Majibu ya humu weupe waende wakajibulaki listi vinginevyo wasisome humu hahahahahaaa
 
Back
Top Bottom