Rais Wa Malofa
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 683
- 782
Ayo madini yanafanya ndio apooze eti eeee.....sasa wanalingiaga nini alafu maringo haya si kwa mwanaume wala mwanamkeWeupe Hawana melanini
Jibu murua kabisa me weupe wengi hawajui kucheza kwa step on bedMna vibamia
Manigga wengi wanaume mashine
LOL!Jibu murua kabisa me weupe wengi hawajui kucheza kwa step on bed
Na kulamba lips, ngoja niishie hapa maana nimefua Sina nguo chafu mieLOL!
wanaleta ubishoo hadi sehemu pendwa
Wajina habari ya sasa hiviWeupe mnajickia mnajiona makeki
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] basi tumeacha aah aahNyerere alisema ubaguzi unaanza taratibu.
Mlianza na ufupi
ikaja six pack
mara vitambi
tena vimbao mbao
ikafuatia vibamia
leo rangi,
tusipokua makini tutaanza kuangaliwa viuno. Dereva simama nashukia kibiti.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Mwanaume mweupe ndo yukoje yan yupo kama white paper au
Oke gudi gudi,Nzuri tu sana
Hahahahh hutaki povuNa kulamba lips, ngoja niishie hapa maana nimefua Sina nguo chafu mie
Aku thitaki mie, hizo comments tu zinawatosha nikiongezea na madhaifu nayowajua nayo hapatakalika hapaHahahahh hutaki povu
Kaangalie thread ya DJ sepetuAku thitaki mie, hizo comments tu zinawatosha nikiongezea na madhaifu nayowajua nayo hapatakalika hapa
Yo'fucking rightMna vibamia
Manigga wengi wanaume mashine