Wanawake kuweni na huruma msituaibishe jamani

Wanawake kuweni na huruma msituaibishe jamani

Pozi lote la kujiprint kwa sista duu likaisha
 
Jana nilikuwa natoka zangu Dodoma kuja Arusha kwa kutumia usafiri wa basi la (...) Nilikaa siti ya dirishani, pembeni alikuwepo dada moja mrembo kweli. Muda wote alikuwa busy na simu yake masikioni akiwa na ear phone.

Nikawa navuta muda achoke kuchati au simu izime chaji nianze mchakato wa kujiprint kwake.

Kwa bahati mbaya nikapitiwa na kausingizi nikaota ndoto kabisa.

Nilikuja kushtuka yule dada akinitikisa kwa nguvu ili niamke huku akipiga kelele "kaka fungua dirisha bwana kwanini unatuumiza namna hii"

Kusema ukweli hali ya hewa ilikuwa mbaya sana ukizingatia A.C haikuwemo mle ndani. Watu wote waliokaa siti za jirani walikuwa wameziba pua zao kwa mikono huku baadhi wakijaribu kujizuia kutapika.

Nikajua kwa vyovyote vile nikajua kitu kiliniponyoka nilipokuwa nimelala maana tangu asubuhi tumbo lilikuwa limejaa gesi.

Nilifungua dirisha nikiwa nimefedheheka sana. Kila mtu kule ndani alikuwa anaongea lake huku baadhi ya masela wakibaki wanacheka tu.

Wanawake wengi walikuwa wakinisimanga utafikiri wao hawajambi..
😀 😀 😀 😀
 
Daaah...wewe jamaa nimechekaaah mpaka roommate wangu wameamka aseeeh...
 
Uzi huu umenifanya nione siku ya amani sana kwangu bigup mkuu.
 
Mkuu umenifanya nicheke nilikuwa sijacheka tangia asubuhi! Sipati picha ulilifurumua la kiasi gani
 
Jana nilikuwa natoka zangu Dodoma kuja Arusha kwa kutumia usafiri wa basi la (...) Nilikaa siti ya dirishani, pembeni alikuwepo dada moja mrembo kweli. Muda wote alikuwa busy na simu yake masikioni akiwa na ear phone.


kwanini suruali yako haina EXPANSION JOINT haya ndio madhara ya kutoacha pa kupumulia wazi.hewa itakuwa imetoka kwa shida sana!! ikiwa imejichuja!!
EXPANSN POINT.jpg
 
EXPANSN POINT.jpg
Jana nilikuwa natoka zangu Dodoma kuja Arusha kwa kutumia usafiri wa basi la (...) Nilikaa siti ya dirishani, pembeni alikuwepo dada moja mrembo kweli. Muda wote alikuwa busy na simu yake masikioni akiwa na ear phone.

Nikawa navuta muda achoke kuchati au simu izime chaji nianze mchakato wa kujiprint kwake.

Kwa bahati mbaya nikapitiwa na kausingizi nikaota ndoto kabisa.

Nilikuja kushtuka yule dada akinitikisa kwa nguvu ili niamke huku akipiga kelele "kaka fungua dirisha bwana kwanini unatuumiza namna hii"

Kusema ukweli hali ya hewa ilikuwa mbaya sana ukizingatia A.C haikuwemo mle ndani. Watu wote waliokaa siti za jirani walikuwa wameziba pua zao kwa mikono huku baadhi wakijaribu kujizuia kutapika.

Nikajua kwa vyovyote vile nikajua kitu kiliniponyoka nilipokuwa nimelala maana tangu asubuhi tumbo lilikuwa limejaa gesi.

Nilifungua dirisha nikiwa nimefedheheka sana. Kila mtu kule ndani alikuwa anaongea lake huku baadhi ya masela wakibaki wanacheka tu.

Wanawake wengi walikuwa wakinisimanga utafikiri wao hawajambi..
 
Pole mkuu, kwa hiyo hata kutupa ndoano yako uliahirisha kwa sbb ya aibu? Au ulijikaza kiume?
 
Jana nilikuwa natoka zangu Dodoma kuja Arusha kwa kutumia usafiri wa basi la (...) Nilikaa siti ya dirishani, pembeni alikuwepo dada moja mrembo kweli. Muda wote alikuwa busy na simu yake masikioni akiwa na ear phone.

Nikawa navuta muda achoke kuchati au simu izime chaji nianze mchakato wa kujiprint kwake.

Kwa bahati mbaya nikapitiwa na kausingizi nikaota ndoto kabisa.

Nilikuja kushtuka yule dada akinitikisa kwa nguvu ili niamke huku akipiga kelele "kaka fungua dirisha bwana kwanini unatuumiza namna hii"

Kusema ukweli hali ya hewa ilikuwa mbaya sana ukizingatia A.C haikuwemo mle ndani. Watu wote waliokaa siti za jirani walikuwa wameziba pua zao kwa mikono huku baadhi wakijaribu kujizuia kutapika.

Nikajua kwa vyovyote vile nikajua kitu kiliniponyoka nilipokuwa nimelala maana tangu asubuhi tumbo lilikuwa limejaa gesi.

Nilifungua dirisha nikiwa nimefedheheka sana. Kila mtu kule ndani alikuwa anaongea lake huku baadhi ya masela wakibaki wanacheka tu.

Wanawake wengi walikuwa wakinisimanga utafikiri wao hawajambi..
Hukula mayai ya kuchemshwa kweli ww?
 
Kwakweli nimecheka saaaaana jamani huku jf kuna mambo.acha tu niendelee kumsubir YESU maana anakuja
 
We unasafiri alafu unakula mayai ya kuchemsha, mahindi, karanga nk ukitegemea nini!!!
 
Inasikitisha sana, kama unatoa mishuzi usingizini...
 
Back
Top Bottom