Gamaha
JF-Expert Member
- Jul 17, 2008
- 3,915
- 5,038
Leo siku yangu imeharibika kabisa, kuna huyu mdada niko naye mwaka wa pili sasa kwenye mahusiano kumbe ni mke wa mtu bhana. na siku zote ananiambia hana mume mtoto wake aliye naye baba yake alifariki zamani.
Duuh kumbe mke wa mtu jamaa yake kanipigia simu na mikwala kibao tena ni mtu wa Tanga ananiambia ameniangalia kwa babu yake amekuta mi mwenyewe mweupe kama karatasi, haichukui hata masaa matatu kumaliza kazi na anasema nitampa faida kwa sababu ataenda kuniuza kama msukule huko kwao Tanga.
Nimeogopa kweli imebidi nimuombe msamaha tu. Jamani akina dada kama una mtu tafadhali muwe mnasema haya mambo ya kuwa misukule tena sio poa.
Duuh kumbe mke wa mtu jamaa yake kanipigia simu na mikwala kibao tena ni mtu wa Tanga ananiambia ameniangalia kwa babu yake amekuta mi mwenyewe mweupe kama karatasi, haichukui hata masaa matatu kumaliza kazi na anasema nitampa faida kwa sababu ataenda kuniuza kama msukule huko kwao Tanga.
Nimeogopa kweli imebidi nimuombe msamaha tu. Jamani akina dada kama una mtu tafadhali muwe mnasema haya mambo ya kuwa misukule tena sio poa.