Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Jiandae kuwa msukule tu.
Kama nakuona vile ukilishwa pumba [emoji23] [emoji23] .
Usiogope hiyo mikwara tu
[emoji23] [emoji23] [emoji115] wala simtishi.[emoji3] [emoji3] [emoji3]
We unazidi kumtisha mwenzako.
Mambo vipi mdogo wangu?
hahahahhhaahahaàaaacha woga wewe unapigwa mikwara kizembe zembe unakubal unajuaje kama sio mchepuko mwenzio
Niko poa mpendwa.[emoji23] [emoji23] [emoji115] wala simtishi.
Shwari Dada. Mzima wewe?
Nafurahi kusikia hivyo my sister.Niko poa mpendwa.
Xsx xuu2mzaczzLeo siku yangu imeharibika kabisa, kuna huyu mdada niko naye mwaka wa pili sasa kwenye mahusiano kumbe ni mke wa mtu bhana. na siku zote ananiambia hana mume mtoto wake aliye naye baba yake alifariki zamani.
Duuh kumbe mke wa mtu jamaa yake kanipigia simu na mikwala kibao tena ni mtu wa Tanga ananiambia ameniangalia kwa babu yake amekuta mi mwenyewe mweupe kama karatasi, haichukui hata masaa matatu kumaliza kazi na anasema nitampa faida kwa sababu ataenda kuniuza kama msukule huko kwao Tanga.
Nimeogopa kweli imebidi nimuombe msamaha tu. Jamani akina dada kama una mtu tafadhali muwe mnasema haya mambo ya kuwa misukule tena sio poa.
Pole, lakini ndiyo kick yenyewe !!
Akikuambia kaolewa utamshusha thamani [emoji38][emoji38]
Yeah, mapumziko na ibadapia.Nafurahi kusikia hivyo my sister.
Weekend ndio hiyooo
Yeah, mapumziko na ibada pia.Nafurahi kusikia hivyo my sister.
Weekend ndio hiyooo
Ni kweli Dada.Yeah, mapumziko na ibadapia.
Yeah, mapumziko na ibada pia.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]Khaa na wewe unakuwa na mahusian miaka 2 yote hiyo unataka kutengeneza rocket inayoenda nje ya anga
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Mwambie uko na mkewe kwa ajili ya tiba za jadi toka sumbawanga na tayari mmeshafunga ndoa baharini.
Mpaka sasa mna watoto 6 wote wako baharin.