Wanawake kwa nini mnatudanganya hamjaolewa

[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Sijui hata kwanini nimecheka!!
 
Jiandae kuwa msukule tu.

Kama nakuona vile ukilishwa pumba [emoji23] [emoji23] .

Usiogope hiyo mikwara tu
 
Jiandae kuwa msukule tu.

Kama nakuona vile ukilishwa pumba [emoji23] [emoji23] .

Usiogope hiyo mikwara tu
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
We unazidi kumtisha mwenzako.
Mambo vipi mdogo wangu?
 
Ungemwambia kuwa kuwa mkewe alikuwashia green light mwenyewe nawe kama kidume ukapita! Ila ktk hilo namlaumu huyo chawote kama alikuwa anayataka hayo mambo asingeolewa!
 
Xsx xuu2mzaczzd
Pole, lakini ndiyo kick yenyewe !!

Akikuambia kaolewa utamshusha thamani [emoji38][emoji38]
 
Dah so ushakuwa maaruf had kwa TV ya babu umerushwa live ukaonekana mweupeeeee
 
Wengi wanaficha! Kuna mmoja nilimuuliza juzi kwa nia nzuri ya kufahamiana ila hakunijibu bhasi nikajiongeza na kujua tayari atakuwa mke wa mtu ila hajiamini.
 
Khaa na wewe unakuwa na mahusian miaka 2 yote hiyo unataka kutengeneza rocket inayoenda nje ya anga
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]
 
Mwambie uko na mkewe kwa ajili ya tiba za jadi toka sumbawanga na tayari mmeshafunga ndoa baharini.
Mpaka sasa mna watoto 6 wote wako baharin.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Unakubalije kutishiwa kibwege namna hiyo? mpigie simu mwambie akusamehe tena maana ulimla hadi tigo huyo anayemuita mke wake, akome kutishia watu nyau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…