EL ELYON
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 1,565
- 1,918
Nipo mkoa Fulani kanda ya ziwa kikazi nilihamishiwa huku kwa bahati nzuri huku nilimkuta ndugu yangu mmoja tunaelewana Sana maana tumekua wote enzi hizo.
Sa kwa vile mi bado mgeni kidogo na ni wale introvert najikuta nipo bored Sana na huu mji mida ya jioni huwa napenda kumcheck ndugu yangu na kutoka naye ingawa si siku zote lakini kuna tabia niliigundua kwa mke wake ni kama hapendi kabisa kuniona pale kwake sijajua ni kwanini ukizingatia sili wala kunywa pale kwake yaani kwa kiifupi sina njaa.
Wakati mwingine namsalimia haitikii au nisipomsalimia ndo imetoka au akinikuta nipo na mumewe hasalimii. Hilo halinisumbui hata kidogo maana mi nishaona mengi sana na nimepitia mengi kwahiyo Yule mwanamke namuona hajai hata kwenye kiganja na matukio yake na hawezi nizuia wala kunipangia kwenda kumuona ndugu yangu.
Cha ajabu wakigombana na mumewe yeye ndo huwa wa Kwanza kunitafuta nikasuluhishe hata saa sita za usiku naenda.
Kilichonifanya nilete haya humu juzi nilipita pale kwake kwani nilikuwa nimeongea na ndugu yangu tapita jioni anisindikize mahali kweli nilipita nikamkuta mkewe nje nikampa salami hakuitikia kisha nikamuuliza huyu jamaa yupo. Akajibu amelala kisha akaendelea na shughuri zake alikuwa anafua mi nikabaki dilemma nikisubiri labda ataenda kumuita lakini hakufanya hivyo.
Hivi wakuu wanawake huwa mna matatizo gani na ndugu upande wa mume? Hivi mnategemea unaweza kumuachanisha mumeo na ndugu zake kweli unaweza ukafanikiwa lakini muda ni hakimu mzuri Sana.
NB: unaweza ukawa na ndugu yako au ndugu zako tena wa damu kabisa mmekuwa pamoja bila tatizo wala kutengana lakini nawaambia atakayekuja kuwatenganisha hata msisalimiane kabisa na mkawa maadui wakubwa ni mke wa mmoja wenu yaani mwanamke. Kama mi muongo naomba ambao mmewahi gundua Hilo mseme hapa.
Fatilieni tukio la wanamuziki P square nini kiliwamaliza jibu ni mwanamke. Kulikuwa na jamaa zangu Fulani walikuwa jirani zetu mtu na Kaka yake mdogo mtu alikuja kwa Kaka mtu kutafuta maisha alipoyapata kidogo akapanga chumba hapohapo alipokuwa anaishi Kaka yake sasa shida ilijitokeza mdogo mtu akapata mwanamke akaoa na Kaka mtu naye akaoa Moto uliwaka aisee kwani mke wa mdogo mtu hakumpenda Kaka wa mume na mkewe ilikuwa vita bahati mbaya mdogo mtu naye kwa mkewe hapindui navyozungumza hapa hawawasiliani wala kusalimiana chanzo MWANAMKE.
Hivi nyie baadhi ya wanawake huwa mna shida gani aisee na ndugu wa mume kwanini huwa mnapambana kumtawala mwanaume kisha kumtenganisha na ndugu zake na rafiki zake wakati hata hujui wametoka wapi? 🤔🤔🤔🤔 KARIBUNI MANA 👇
Sa kwa vile mi bado mgeni kidogo na ni wale introvert najikuta nipo bored Sana na huu mji mida ya jioni huwa napenda kumcheck ndugu yangu na kutoka naye ingawa si siku zote lakini kuna tabia niliigundua kwa mke wake ni kama hapendi kabisa kuniona pale kwake sijajua ni kwanini ukizingatia sili wala kunywa pale kwake yaani kwa kiifupi sina njaa.
Wakati mwingine namsalimia haitikii au nisipomsalimia ndo imetoka au akinikuta nipo na mumewe hasalimii. Hilo halinisumbui hata kidogo maana mi nishaona mengi sana na nimepitia mengi kwahiyo Yule mwanamke namuona hajai hata kwenye kiganja na matukio yake na hawezi nizuia wala kunipangia kwenda kumuona ndugu yangu.
Cha ajabu wakigombana na mumewe yeye ndo huwa wa Kwanza kunitafuta nikasuluhishe hata saa sita za usiku naenda.
Kilichonifanya nilete haya humu juzi nilipita pale kwake kwani nilikuwa nimeongea na ndugu yangu tapita jioni anisindikize mahali kweli nilipita nikamkuta mkewe nje nikampa salami hakuitikia kisha nikamuuliza huyu jamaa yupo. Akajibu amelala kisha akaendelea na shughuri zake alikuwa anafua mi nikabaki dilemma nikisubiri labda ataenda kumuita lakini hakufanya hivyo.
Hivi wakuu wanawake huwa mna matatizo gani na ndugu upande wa mume? Hivi mnategemea unaweza kumuachanisha mumeo na ndugu zake kweli unaweza ukafanikiwa lakini muda ni hakimu mzuri Sana.
NB: unaweza ukawa na ndugu yako au ndugu zako tena wa damu kabisa mmekuwa pamoja bila tatizo wala kutengana lakini nawaambia atakayekuja kuwatenganisha hata msisalimiane kabisa na mkawa maadui wakubwa ni mke wa mmoja wenu yaani mwanamke. Kama mi muongo naomba ambao mmewahi gundua Hilo mseme hapa.
Fatilieni tukio la wanamuziki P square nini kiliwamaliza jibu ni mwanamke. Kulikuwa na jamaa zangu Fulani walikuwa jirani zetu mtu na Kaka yake mdogo mtu alikuja kwa Kaka mtu kutafuta maisha alipoyapata kidogo akapanga chumba hapohapo alipokuwa anaishi Kaka yake sasa shida ilijitokeza mdogo mtu akapata mwanamke akaoa na Kaka mtu naye akaoa Moto uliwaka aisee kwani mke wa mdogo mtu hakumpenda Kaka wa mume na mkewe ilikuwa vita bahati mbaya mdogo mtu naye kwa mkewe hapindui navyozungumza hapa hawawasiliani wala kusalimiana chanzo MWANAMKE.
Hivi nyie baadhi ya wanawake huwa mna shida gani aisee na ndugu wa mume kwanini huwa mnapambana kumtawala mwanaume kisha kumtenganisha na ndugu zake na rafiki zake wakati hata hujui wametoka wapi? 🤔🤔🤔🤔 KARIBUNI MANA 👇