Wanawake kwanini mkiambiwa kuhusu hii tabia inatukera wanaume hamjirekebishi?

Ungeweka na message uliyojibu baada ya kuambiwa yupo na rafiki yake.... umeshindwa kumpa makavu muhusika unakuja kulialia jf

sent from kuzimu
 
Ungeweka na message uliyojibu baada ya kuambiwa yupo na rafiki yake.... umeshindwa kumpa makavu muhusika unakuja kulialia jf

sent from kuzimu
Mkuu umenifurahisha sana
 
Mkuu unataka nichafuliwe kwenye mitandao kuwa jogoo hapandi japo tatizo sio jogooπŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na unaogopa kuongezewa na mashtaka ya kuwa na kibamia juu wakati inaweza kuwa sio kweli?[emoji23] [emoji23] [emoji23] wanawake bwana. Inanikumbusha enzi za sekondari mtt alitaka kugegedwa na kuwa ningekataa angenitangaza mtaani kwetu kuwa nina kibamia, kwann nisingepata dilemma kweli!, daaaahhh
Waambie watangulie bar na kila mmoja aagize wine yake alafu zima simu.

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
ni kweli hilo mabinti na akina mama jirekebisheni, Mvulana anataka labda uchumba muongee wawili wewe unabeba misukule unakuja nayo sasa hapo inakuwaje?
 
Yaaaan nimejua kucheka leo


Umenichekesha ulivozungushia hizo key word
 
Yaaaan nimejua kucheka leo


Umenichekesha ulivozungushia hizo key word
Hahahah yani ni kama enzi za sec pale Azania ambapo mwalimu wa history anakuta points zote nimezi bold kabisa kwa wino mzitoπŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
 
Eti sisi....hao unawaacha kwny mataa wanataka kukuia hela yako tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…