Hapo mkuu ili kukomesha tabia ovu hio....waambie kuna sehem umepita kwahio watangulie waagize vyoote wanavyotaka na wewe wakuchukulie henken 5 waziweke mezani na kuku wazima wawili..Sasa mkuu nini kifanyike?
katuni!!! umri wako tafadhali!!Mkuu jumanne leo ndio makutano ila nimetulia home hapa naangalia katuni
Potelea mbali, kwasababu ukweli unaujua weweMkuu unataka nichafuliwe kwenye mitandao kuwa jogoo hapandi japo tatizo sio jogooππππ