Wanawake, kwanini mnavaa nguo za kubana?

wanavaa zakubana ili ukague kwa haraka, maana wanaume tunataka kujua yule yupoje...sasa akivaa deraa hutoelewa saizi yake. pia ugeuze shingo ajue ameangaliwa leo... mwanamke atoke ndani siku nzima bila kusemeshwa au kuangaliwa hajisikii vzr...nguo pana zinaficha.
 
Mtazame mke wako na ma oversize yake, hawa wanaovaa za kubana tuachie sisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…