Duh! Kumbe Kuna sura ya songesha!Mwanaume mchafu mwenye sura ya SONGESHA hapaaanaa kwa kweli
mimi sio mchafuMwanaume mchafu mwenye sura ya SONGESHA hapaaanaa kwa kweli
Hata kama dhakari langu limekaa kama ulimi lina vipele linasugua kote kote utanikataa kweli!?Harufu ya Beberu na harufu ya mdomo
Wacha nijifundishe mitego ya kumkamata Ndege mjanja hapa.
Sura ya Songesha ndio ikoje hiyo mbona nimeanza kucheka kabla
Duh! Kumbe Kuna sura ya songesha!
mimi sio mchafu
ila nina sura ya songeshaJipigie makofi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
awe presentable (yani popote naweza kwenda nae na kumtambulisha ),
ananukia unyunyu wa maana na pia yeye mwenyewe awe anajiweza..
Embu sema kitu bhnaπππ jamani
Ila leo ni wanawake tu ndio wanatakiwa kusema broMimi mwanamke anaenukia unyunyu mzuri na msafi...sio demu ananukia marashi ya elfu 30 ya kutoka mnunuzi wa bandari yetu...yani demu ananukia ubani,udi utafikiria mganga wa kuagua mapepo
hahahha duhMwanaume mchafu mwenye sura ya SONGESHA hapaaanaa kwa kweli
HatariEeeeh Ndiwooooo [emoji23][emoji23][emoji23]
Sio kweliUzinzi na ulevi ndio chanzo cha umasikini Tanzania.