Kila la heriAh hao walijitakia wenyewe bwana....wee kama umenuia basi utahakikisha juu chini jambo lako likamilike....nitakupa mfano kaka wa fidel castro. Yeye yule jamaa alijua yeye ni wanted man na wamarekani hivyo ata chupi alikuwa anabadilisha kila leo..maana washezi wanaaeza kuweka sumu kwenye chupi bureee....so ata mie naona itakifa sehemu nitaenda kwenye extreme ili kuhakikisha sinasi pabaya