Kila la heriAh hao walijitakia wenyewe bwana....wee kama umenuia basi utahakikisha juu chini jambo lako likamilike....nitakupa mfano kaka wa fidel castro. Yeye yule jamaa alijua yeye ni wanted man na wamarekani hivyo ata chupi alikuwa anabadilisha kila leo..maana washezi wanaaeza kuweka sumu kwenye chupi bureee....so ata mie naona itakifa sehemu nitaenda kwenye extreme ili kuhakikisha sinasi pabaya
🤣🤣🤣🤣 I'm the same....just a little grown 😉😉 Ila hayo majibu yalikuwa hayatoki bure bure bana....uzushi ulikuwa mwingi.Lizzy kama umebadilika inapendeza Sana. Nakumbuka back then kuna majibu ulikuwa unatoa kwenye nyuzi, nikawa nasema mimi nikiwa na mtu Kama wewe ungekuwa unakula makofi sana.
Karibu tena.
A little grown huh? Sounds good. I think I am gonna like "a little grown" you.🤣🤣🤣🤣 I'm the same....just a little grown 😉😉 Ila hayo majibu yalikuwa hayatoki bure bure bana....uzushi ulikuwa mwingi.
Sio mimi kwakweli. Sijawahi kutokuwa Lizzy tangu nijiunge 2006.Mleta mada nahisi wewe ulikuwa unatumia id ya Asmaa80 ila umeibadilisha na kuwa Lizzy
Kama sio wewe na hukuwahi kuitumia hiyo id basi naweza sema wewe ni mwanamke wa pili niliyetokea kukuelewa baada ya Asmaa80, maana nae alikuwa ana akili sana
Pata muda wa kuisoma.... Ni kastori kazuri. Utajifunza kitu kwa ajili ya kuboresha mahusiano kwa mwaka 2019 na kuendelea.Naombeni summary jamani
Hapana huyu hana wivu au mambo hayo maana huwa namwambia kabisa natafuta pesa nioe mke wa pili anaruhusu, ila tatizo ndo hilo hajui kuomba hata msamaha hata nikimkuta na kosa na uthibitisho upo atajitetea lakini sio kuomba msamahaKrait I really don't mind. Ila tu asije akanimwagia tindikali kwakunidhania...🤣🤣
Aaah! Maana huyu dada alikuwa na mtazamo kama wako sijui kapotelea wapi...!?!Sio mimi kwakweli. Sijawahi kutokuwa Lizzy tangu nijiunge 2006.
Haaa nimesoma sijui ndiyo aya ya kwanza, unaweza mpa pongezi kumbe kapiga deshiNaombeni summary jamani
Hakujui huyu. Wewe nakumbuka kitambo sana, miongoni mwa wajumbe waanzilishi wa Jambo forum. Ulikuwa moto sana, wengi wamepotea isipokuwa wachache. Mimi nilikuwa natumia ID tofauti na hii ila sitaitaja.Sio mimi kwakweli. Sijawahi kutokuwa Lizzy tangu nijiunge 2006.
Hehehehe....ana mfumo dume ehhh??? Wewe he?? Huwa unaomba samahani???Hapana huyu hana wivu au mambo hayo maana huwa namwambia kabisa natafuta pesa nioe mke wa pili anaruhusu, ila tatizo ndo hilo hajui kuomba hata msamaha hata nikimkuta na kosa na uthibitisho upo atajitetea lakini sio kuomba msamaha
True..true!! Heheh...kwanini ulibadilisha?? Ulifanya majanga ehhh??😉Hakujui huyu. Wewe nakumbuka kitambo sana, miongoni mwa wajumbe waanzilishi wa Jambo forum. Ulikuwa moto sana, wengi wamepotea isipokuwa wachache. Mimi nilikuwa natumia ID tofauti na hii ila sitaitaja.
Haya mambo haya, yaache tu kama yalivyo.True..true!! Heheh...kwanini ulibadilisha?? Ulifanya majanga ehhh??😉
Hiyo stori achana nayo, nikisema ndiyo nitakuwa nimeanika kila kitu. Ngoja nikutafutie hiyo avatar gugo.Sema bana...
Ohhh man. Nilikuwa naipenda balaa. Ningeirudisha ila sema sina tena...na kuipata itakuwa kazi.