Wanawake maarufu wenye mambo ya ajabu Bongo

Huu uzi umeukosea kidogo mkuu.. Ungeandika wanawake maarufu bongo wenye akili timamu.. Ingekuwa vizur wala usingejaza page wala kumalza wino maana ni wachache mnoo, sio minungaembe ulioijadili hapo.. Umemalza wino na wengine umewasahau.. Hiyo michizi ipo mingi tz, 95 ya maarufu wote ni machizi..

Shukran lakn kwa kutuletea cha kukomentia..[emoji23] [emoji23]
 
Ungetaja na makabila yao maana hizi tabia zinaendana na makabila wamerithishwa
 
Bro una wivu na akina dada wa Bongo. Ni dalili za ushoga hizo...
 
Mbona yule aliyeimba wimbo wa "WANAWAKE NA MAENDELEO " sijamuona
 
Umeanza
 
Bro una wivu na akina dada wa Bongo. Ni dalili za ushoga hizo...
Nimekustahi kwa leo ila siku nyingine usijaribu tena kunitusi, kama ukiona nimekukera pita kimya kimya sijakuomba uchangie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…