kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 18,585
- 16,780
Wakuu, naona kama hii kitu inaongezeka kwa kasi, kuna Wadada siku hizi wanapiga fegi (sigara) bila uoga kabisa.
Hatari ya Wanawake kuvuta sigara ni kubwa kuliko wanaume.
Kuna sehemu nimekaa hapa kuna mabinti wanne, wawili wabongo na wengine wazungu wapiga fegi unstoppable.
Na kila mwanamke anayevuta sigara lazima anakuwa amechora Tatoo kwenye sehemu moja wapo ya mwili wake, kuna uhusiano wowote ule wa Tatoo na kuvuta sigara?
Hatari ya Wanawake kuvuta sigara ni kubwa kuliko wanaume.
Kuna sehemu nimekaa hapa kuna mabinti wanne, wawili wabongo na wengine wazungu wapiga fegi unstoppable.
Na kila mwanamke anayevuta sigara lazima anakuwa amechora Tatoo kwenye sehemu moja wapo ya mwili wake, kuna uhusiano wowote ule wa Tatoo na kuvuta sigara?