Bacha tupeleke Dubai papasa kinanda haya sasa warudishe....:biggrin1::biggrin1:
habari zenu wandugu? Natumai mpo salama kabisa. Jaman swali langu ni fupi. Hivi ni kwa nin wanawake mabonge wanapenda sana taarabu? Je huu mziki ni kwaajiri yao wao wenyewe? Kweli sielewi mpaka sasa kunauhusiano gan taki ya wanawake mabonge na muziki wa taarabu!
Kucheza taarab hakuhitaji kutumia nguvu nyingi wao wanatumia unene wao kuzungusha kiuno wanakinyonga kikanyongeka taratiiibu huwa wananiacha hoi pale wanapo cheza na kuangalia nyuma je wowowo linatikisika.
mmh! Asha D hvyo vidole na minjino umechakachua!
Ewaaaaa........raha ya taarabu ndo inaanzia hapo chacha.........................
mkuu fidel80 umeniacha hoi, kwamba WANAPOCHEZA HUJIANGALIA NYUMA KUCHEKI KM WOWOWO LINATIKISIKA? Duh!
Kucheza taarab hakuhitaji kutumia nguvu nyingi wao wanatumia unene wao kuzungusha kiuno wanakinyonga kikanyongeka taratiiibu huwa wananiacha hoi pale wanapo cheza na kuangalia nyuma je wowowo linatikisika.
Hii mbona jibu lake rahisi sana. Ni kwa sababu Taarab ni muziki wa kucheza bila jasho. Yaani unajitingisha tingisha tu taratiibu mwenyewe kwa raha zako huku kidole umekiweka juu.
Wewe angalia hata hao watangazaji wa vipindi vya Taarab akina Dida na Gea. Wote vibonge vibonge tu. Vimbaumbau hata hawaendani na Taarab.
Hivi humu kuna mpenzi wa Taarab kunishinda mimi? Najua mpo ila mnaogopa tu kusema kwa sababu msije mkaonekana Waswahili. Shauri zenu bana. Nyinyi oneni noma tu wakati wengine tunafurahia bila vizingiti.
Mzee Yusuf na Amigo wako juuuuuuuuuuuu.
so zenji taarabu yao sio tamu km ya tanga, mombasa, tandale, manzese etc? Tandale na manzese wachezaji wake huwa hawavai chuupiiii kabisa aisee. Ktk kucheza kucheki tumsitu twao ni kawaida sana! Halafu sijui wanacheza taarabu gani ile? Coz ina mixer ya baikoko fulan hv!