Kaldinali kwa hapo kwenye red umechemsha, au nikuhakikishie popote utakapoenda ukiitaka hiyo huduma utaipata kwani umesema wanawake Hapa JF ilikuwepo thread ya kupata huduma hizi katika Miji yote na watu walichangia, Sasa kwa Arusha ukitaka wameru na Waarusha fika Makao Mapya zipo Guesti kibao wewe ulizia barmaid yoyote akuonyeshe Muarusha au MMeru utahudumiwa.
Labda ungeanza na kutafuta bint/Msichana wa kuoa ni wapi waliotulia yaani hata ile kuwa na aibu, ya kutoa mchezo (looser ball) kweli wanaweza kuwemo katika 10 bora wanweza kuwemo hao uliowataja yaani wakajificha na kukulindia heshima. Lakini wakiwa ni wafanyakazi au wasomi wanaotumia F/B usishangae nae akakuijia na Gari Nadia akakuambia amekopeshwa na Boss