Wanawake malaya

malaya ni mtu wa jinsia yeyote , awe mwanamme ama mwanamke , mwenye kuzini iwe kwa starehe ama kwa dhiki ama kwa biashara
 
hii mada no comments kwakweli coz vigezo mpaka nikagoogle kwanza
 
Wanawake malaya wa siku hizi wamekuwa kama mbwa malaya maana mbwa malaya anaweza kufanya uzinifu mbele ya kadamnasi. Wanawake siku hizi hawana simile wameingiwa na pepo la ngono wanagawa k za kutosha wanasema eti zisije zikaliwa na nyenyere. wanawake malaya wamewafanya wanawake wote sasa hivi waonekane malaya. Naombeni msinipige mawe
 

Huo umalaya mbele ya kadamnasi anaufanyaje pekeake?
Kama anafanya na mtu huyo nae tunamwitaje?
Suala la umalaya huwezi kumuhukumu mtu mmoja ukamwacha mwingine.
Au mnapenda tu kusema wanawake?
Muwe mnatafakari kabla ya kusema.
Wanaume waache tamaa,
wanawake waache tamaa na
TUHESHIMIANE.
 
Wote uliowataja ni malaya na hakuna aliye bora kuliko mwingine .
 
kweli mpolee ulianza uchakachuzi wa k yako mapema
mimi nimeanza juzijuzi tu
ila kuna msemo niliusikia mahali eti mwanamke hadi kufikia kuolewa/kupata maendeleo lazima apitie uma...........ya

Yalaaah Nimekutamani wewee.....eeeeewwww......
 

Kwana mnawekewa madawa ya kulevya yanawalevya kwa hiyo mnafanya bila kujitambua eh. Ukisema hapana nani atakulazimisha? Akili za wanawake siku hizi zimebadilike mnaongozwa na fikra ya kutaka kuridhishwa au kufikishwa kileleni ndio maana mnataka mtembee na kila mwanaume
 

Awali ya yote napenda ujue tafsiri ya neno "malaya" au "uzinzi"

Ki-biblia, neno "Uzinzi" lina maana ......


KUTAMANI MTU ASIYE MUME/MKE WAKO.
Mathayo 5:27-28 inasema "Mmesikia kwamba imenenwa, usizini; lakini mimi nawaambia, kila mtu atazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake".

Kwa sisi waislam ambao ni minority humu jf nadhani tunafahamu nini Quraan inazungumzia kuhusu uzinzi/zinaa.

“…......... Na mmehalalishiwa (kuoa wanawake) mighairi ya hawa.
Muwatafute kwa mali zenu, kwa kuwaoa bila ya kufanya
zinaa….......” (4:24).
"Wala msiikurubie zinaa hakika hiyo ni uchafu na njia mbaya kabisa". Qur. 17:32.

“… Na (mmehalalishiwa kuwaoa) wanawake wema wa Kiislamu na
wanawake wema katika wale waliopewa kitabu kabla yenu. (Ni
halali kuwaoa) mtakapowapa mahari yao mkafanya nao ndoa bila
ya kufanya uzinzi wala kuwaweka vimada….” (5:5)



Sasa mleta mada utachambua mwenyewe hivyo vifungu na hoja zao kisha utueleze wewe unaona huo umalaya ni au mtu malaya ni yupi ilhal kwenye maelezo yako yamejitosheleza.
 
usjfanye mtakatif. Ww umelala na wangap toka ulianza?
mpolee inaelekea hii dhambi ya zinaa unayoifanya inakutesa sasa unataka kuangalia kama na wasichana wenzio wanafanya? ili upunguze machungu uone ni jambo la kawaida kumbe na wengine wanafanya pia
kwa ushauri seriasly
personaly kwa age ya miaka chini ya 20 msichana kuanza zinaa sio jambo jema kabisa.
by that age upo shule ,wala huwezi kuwa na mahusiano ya ukweli ndo ivo tu unapalilia pepo la umalaya katika usichana wako
mimi smile naapa chini ya mbingu nimeanza zinaa juzi tu chuo mwaka wa mwisho na yakanishinda vilevile,wala sikuona faida zaidi ya machungu.kiukweli sidhani kama kuna faida katika kubadilisha wanaume ovyo.hata kama ashiki imekuzidi.kuna mbinu mbadala.
kuwa na mahusiano sio lazima usex.sex sio maisha.utatembea na wangapi wewe.? tuliza mwili wako mtoto.just imagin unalal;a na watu hata hawakupendi wanakubinua mara huku mara kule kisa?
craaaap
my body is not reachable to fek item
craaaaaaaaaaap
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…