Wanawake mbona mnaamini wanaume wenye magari kuliko matendo au tabia zao?

Wanawake mbona mnaamini wanaume wenye magari kuliko matendo au tabia zao?

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Mwanaume ukimiliki gari liwe umekopa, umechukua kwa mshikaji umemaliza kila kitu kwa mtoto wa kike.

Haijalishi gari la Ambulance au la maiti lisiwe na jeneza ndani tu.

Kuna mdogo wangu tokea kapewa gari naona anamaliza watoto wa mtaani na viunga vyake kisa tu gari.

Wanawake mnaamini gari ndio mwanaume bora kashushwa kwenye chaguo lako!
 
Wao ni binadamu na wanapenda vitu vizuri nimeshay
aona hayo. Gari ina hadhi yake hovyo waacheni waamini kwenye magari kama mtu umeona hio ni fursa na ww tafuta hata msela mwenye gari vimba nalo mtaani uopoe madem hii kuja kulia lia hapa jf inakua ni umama na unyonge wa kijinga. Tafuta hata mwenye stl alafu jioni mnalieeka namba za kawaida mnakula maisha ila usithubutu kukutwa
 
Mpaka amepata mtu wa kumpa gari hata ya kupiga misele,huyo akili ipo kichwani!!sasa wewe hata kujichanganya mtaani huwezi,huna social skills,ukikosa ajira ya kuajiliwa,huwezi ku survive mtaani,mwenzio anaweza kujichanganya,
 
Gari ni gharama.
Haijalishi ni VITZ au BMW.
Kwa haraka haraka mdada anaona jamaa ana mapene.
Kumbe wengine ni madalali wa magari, wamegongea au ya kazini.
 
Gari ni gharama.
Haijalishi ni VITZ au BMW.
Kwa haraka haraka mdada anaona jamaa ana mapene.
Kumbe wengine ni madalali wa magari, wamegongea au ya kazini.
Ilimradi aone gari.... Haijalishi la kukodi au la mkopo
 
Back
Top Bottom