Naomba tuendeshane kama hutojali,[emoji28][emoji28][emoji28]mbona gari
Nianze kukuendesha au utaanza weweNaomba tuendeshane kama hutojali,
Naendesha nikichoka unaniendesha..
Nijibu yes tufanye suprize [emoji3]
Naomba nianze tafadhwali, sifiki mbali unakamatia mashine.Nianze kukuendesha au utaanza wewe
😅😅😅😅nmekumbuka sina leseniNaomba nianze tafadhwali, sifiki mbali unakamatia mashine.
Leseni haina ulazima, nina mwaka sijawah ulizwa leseni njiani.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]nmekumbuka sina leseni
Tafuta mwaya wadada wengi hawapendi kwenda lodge kwa mguuNgoja nitafute gari
Leseni haina ulazima, nina mwaka sijawah ulizwa leseni njiani.
Sema sababu nyingine
Pesa gani mbona manara na AY wanateseka kwenye mapenzi licha ya kuwa na pesa.Wewe tafuta pesa tu nawe umiliki chombo cha moto, kutembelea miguu waachie wana wa Israeli.
Ilimradi aone gari.... Haijalishi la kukodi au la mkopoGari ni gharama.
Haijalishi ni VITZ au BMW.
Kwa haraka haraka mdada anaona jamaa ana mapene.
Kumbe wengine ni madalali wa magari, wamegongea au ya kazini.
Ili akashinde garage ama imuue.Nani anapenda kutembea juani.
We cha msingi tafuta hela nunua vits hata ya laki saba tu uepuke maneno maneno