Nakuapia naagiza msosi wangu mwenyewe naukandamiza akiniangalia nikimaliza nalipa kisha namwambia tende zetu!Baada ya kubembelezwa sana unamtoa mdada
‘out’, mnaenda sehemu mmekaa.
Wewe: Ehe utakula nini switii?
Mdada: Chochote
Wewe: Nikuagizie ice cream
Mdada: Hapana meno yanauma
Wewe: Haya wacha walete chips kuku
Mdada: Jamani kila siku chips kuku leo tubadilishe
Wewe: Toa wazo basi unataka kula nini
Mdada: Chochote
wewe ni mwanaume wa dar?hapo unnajiagizia supu ya pweza unajinywea taratibu. akishindwa kujiagizia ajue atagegedwa na njaa.