ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,652
- Thread starter
- #21
Na ni MAUA kama WARIDI uyaonapo uhai ukujia tena. Bila sisi wanawake wanaume mngeuana ovyo, maana ni kwa kupitia sauti zetu za upole na mioyo yetu ya huruma AMANI inakuwepo duniani. Ni kwasababu ya wanawake , wanaume wanaitafuta hiyo pesa. Nguvu aliyonayo mwanamke ni kubwa kuliko MISULI ya mwanaume imejifumbata huioni kwa macho.Japo wanatuita viumbe dhaifu lakini wanakili moyoni POWER kubwa tuliyo pewa.Nashukuru Mungu kwa kuzaliwa nilivyo
Hiyo ni sifa namba 11, ndiyo maana nilisema nyingine ongezeeni wenyewe. weekend njema