Wanawake mkipata wapenzi wapya punguzeni "show off" kwenye "status za WhatsApp"

Wanawake mkipata wapenzi wapya punguzeni "show off" kwenye "status za WhatsApp"

Story iko hivi....

Nilikua na mpenzi wangu ambae tulidumu kwenye mahusiano kwa takribani miezi 6 lakini tulipishana tu Kiswahili kdg tu na nilijaribu kuzungumza nae lakini nikaona kama mwenzangu bado kanuna flani na wakati tunazungumza mimi nilikua nimesafiri kikazi kwa muda wa mwezi mmoja so hatukua mkoa mmoja kama kawaida.

Kuna siku niliingia wasap nikakuta kaweka DP ya mwanaume mwingine nikajua tu tayari ana mpenzi mpya au huenda alikua nae kabla hata hatujapishana kiswahili so alichokua anatafuta ni sababu tu ili awe free.Binafsi nilivyoona vile wala sikutaka kuhoji mana nilishajua nini kinaendelea.

Kwakua namba yake sikuifuta niliendelea kuona status zake za WhatsApp akimposti kwa kasi yule jamaa yake mpya.

Sasa chakushangaza jana yule manzi kanicheki kwa normal text na kuniuliza "Mapenzi na mimi yamekufa ?"

Mimi nikamuuliza kwanini unasema hivyo, akanijibu "Mana naona uko kimya kama vile hunijui" Nikamwambia sio kwamba nipo kimya ila nilishaona wewe tayari una mpenzi mpya sasa si vyema mimi kuanza kukutumia text au kukupigia mana nitakua nakuharibia mahusiano yako akanambia "Sipo nae" nikamuuliza kwanini akanambia "mkorofi na mimi ukorofi sipendi" Nikahisi tu mbali na ukorofi kuna jambo atakua ananificha na huenda jamaa kashakula tunda kaona hakuna cha ziada.

Wanawake mnapoingia kwenye mahusiano mapya punguzeni show off za social media mana huwezi jua huenda huyo unaemtambia kwamba upo na mpenzi mpya siku moja ukahitaji support yake.

Hakikisha kama unamposti mtu kwenye social media uwe na uhakika nae kwamba mnaenda kuingia kwenye ndoa mana siku ukiacha kumposti ni rahisi watu kujua kwamba mahusiano yako yapo kwenye hali gani.
Vijana mnaangamia Kwa kukosa maarifa
 
Story iko hivi....

Nilikua na mpenzi wangu ambae tulidumu kwenye mahusiano kwa takribani miezi 6 lakini tulipishana tu Kiswahili kdg tu na nilijaribu kuzungumza nae lakini nikaona kama mwenzangu bado kanuna flani na wakati tunazungumza mimi nilikua nimesafiri kikazi kwa muda wa mwezi mmoja so hatukua mkoa mmoja kama kawaida.

Kuna siku niliingia wasap nikakuta kaweka DP ya mwanaume mwingine nikajua tu tayari ana mpenzi mpya au huenda alikua nae kabla hata hatujapishana kiswahili so alichokua anatafuta ni sababu tu ili awe free.Binafsi nilivyoona vile wala sikutaka kuhoji mana nilishajua nini kinaendelea.

Kwakua namba yake sikuifuta niliendelea kuona status zake za WhatsApp akimposti kwa kasi yule jamaa yake mpya.

Sasa chakushangaza jana yule manzi kanicheki kwa normal text na kuniuliza "Mapenzi na mimi yamekufa ?"

Mimi nikamuuliza kwanini unasema hivyo, akanijibu "Mana naona uko kimya kama vile hunijui" Nikamwambia sio kwamba nipo kimya ila nilishaona wewe tayari una mpenzi mpya sasa si vyema mimi kuanza kukutumia text au kukupigia mana nitakua nakuharibia mahusiano yako akanambia "Sipo nae" nikamuuliza kwanini akanambia "mkorofi na mimi ukorofi sipendi" Nikahisi tu mbali na ukorofi kuna jambo atakua ananificha na huenda jamaa kashakula tunda kaona hakuna cha ziada.

Wanawake mnapoingia kwenye mahusiano mapya punguzeni show off za social media mana huwezi jua huenda huyo unaemtambia kwamba upo na mpenzi mpya siku moja ukahitaji support yake.

Hakikisha kama unamposti mtu kwenye social media uwe na uhakika nae kwamba mnaenda kuingia kwenye ndoa mana siku ukiacha kumposti ni rahisi watu kujua kwamba mahusiano yako yapo kwenye hali gani.
The single most common reason women leave their husbands, is because they are bored and they think they are capable of getting a man who is better.

Usually they find out, after it is already too late, that they were wrong.
 
Mpenzi wangu wa zamani baada ya kuachana naye ali post gari la mpenzi wake
FB_IMG_1677183884183.jpg
 
Story iko hivi....

Nilikua na mpenzi wangu ambae tulidumu kwenye mahusiano kwa takribani miezi 6 lakini tulipishana tu Kiswahili kdg tu na nilijaribu kuzungumza nae lakini nikaona kama mwenzangu bado kanuna flani na wakati tunazungumza mimi nilikua nimesafiri kikazi kwa muda wa mwezi mmoja so hatukua mkoa mmoja kama kawaida.

Kuna siku niliingia wasap nikakuta kaweka DP ya mwanaume mwingine nikajua tu tayari ana mpenzi mpya au huenda alikua nae kabla hata hatujapishana kiswahili so alichokua anatafuta ni sababu tu ili awe free.Binafsi nilivyoona vile wala sikutaka kuhoji mana nilishajua nini kinaendelea.

Kwakua namba yake sikuifuta niliendelea kuona status zake za WhatsApp akimposti kwa kasi yule jamaa yake mpya.

Sasa chakushangaza jana yule manzi kanicheki kwa normal text na kuniuliza "Mapenzi na mimi yamekufa ?"

Mimi nikamuuliza kwanini unasema hivyo, akanijibu "Mana naona uko kimya kama vile hunijui" Nikamwambia sio kwamba nipo kimya ila nilishaona wewe tayari una mpenzi mpya sasa si vyema mimi kuanza kukutumia text au kukupigia mana nitakua nakuharibia mahusiano yako akanambia "Sipo nae" nikamuuliza kwanini akanambia "mkorofi na mimi ukorofi sipendi" Nikahisi tu mbali na ukorofi kuna jambo atakua ananificha na huenda jamaa kashakula tunda kaona hakuna cha ziada.

Wanawake mnapoingia kwenye mahusiano mapya punguzeni show off za social media mana huwezi jua huenda huyo unaemtambia kwamba upo na mpenzi mpya siku moja ukahitaji support yake.

Hakikisha kama unamposti mtu kwenye social media uwe na uhakika nae kwamba mnaenda kuingia kwenye ndoa mana siku ukiacha kumposti ni rahisi watu kujua kwamba mahusiano yako yapo kwenye hali gani.
Kwa hiyo hujamalizia, jee ulimrudia? Manake majibu yako kwake hayako kiume ulikuwa unajielezea sana na kujitetea badala ya kunyooka yes mapenzi yashakufa
 
Back
Top Bottom