X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
mimi nilikatwa kwa kisu butu, ganzi niliyowekewa ilikuwa chumvi tena chumvi ile ya mawe...ndio maana nikimkunja mtu kama wewe lazima....chozi la raha likutokeHivi jando umekwenda wewe? Ulikatwa kwa kisu cha aina gani au ulitiwa ganzi kwanza?
Usikubali kukaa na maumivu, na bahati mbaya anayekuhumiza hajui thamani ya maumivu yako, hajali maumivu ya moyo wako, lakini bado unavumilia kisha unalia. Heart acha kulia sasa, hakuna wa kuyaondoa maumivu yako ila Mimi. Njoo haraka pm kwa tiba.Kisha kesho unitangaze JF ...akhuu... Thanx but no thanks
Aaah umeharibu mkuu [emoji23] [emoji23] asili ya chumvi ya mawe ikimung'unyuka hutoa maji, kumbe mnachangia kuleta ma bwawamimi nilikatwa kwa kisu butu, ganzi niliyowekewa ilikuwa chumvi tena chumvi ile ya mawe...ndio maana nikimkunja mtu kama wewe lazima....chozi la raha likutoke
Nilikuwa nawaza tu kwa sauti mkuu, ila naona umeelewaKwahyo hawana cha kufanya
[emoji28][emoji28][emoji28]Nilikuwa nawaza tu kwa sauti mkuu, ila naona umeelewa
si sana....Aaah umeharibu mkuu [emoji23] [emoji23] asili ya chumvi ya mawe ikimung'unyuka hutoa maji, kumbe mnachangia kuleta ma bwawa
Kwa hiyo umeamua kuyaleta huku, huna siri hata kidogo, sikwambii tenaNdoa si lele mama, ili iweze kustawi na kudumu lazima kila mwanandoa anapaswa ajifunge kwa dhati kuitumikia ndoa hiyo. Kila anaeingia katika mkataba wa ndoa anaingia na matatizo yake binafsi. Na hakuna binadamu aliyekamilika kwa vyote, wengine wafupi, wengine warefu, wengine wanene, wengine wembamba, wengine wazuri , wengine wabaya, wengine weupe , wengine weusi, wengine wapole, wengine roho mbaya kama scorpion, wengine wakarimu, wengine wachoyo, orodha ni ndefu sana.
Kuna hii tabia mbaya sana kwa wake za watu wanaotafuta mapungufu ya waume zao kisha kuyashikia bango. Na bahati mbaya hawana siri tena, kila mtu anayepita mbele yao wanaropoka yote. Mnatia aibu sana badilikeni, mambo mengine mnazungumza wawili ndani na sio kuyatoa nje kwa wapita njia.
Kuna wake za watu wamenifuata kwa nyakati tofauti kuomba ushauri juu ya waume zao hasa wawapo kitandani. Mazungumzo yetu yalikuwa hivi:
Mke wa mtu 1" Siasa basi yaani mume wangu hakuna kitu kabisa, usiku ananipiga kimoja anaanguka kule anaanza kukoroma nalala na nyege zangu, wakati mwingine anapoamka asubuhi anakurupuka ananipiga kimoja anakwenda kazini nabaki na nyege tele sijui nifanyeje!"
Siasa basi " Kwani wewe unataka upigwe vingapi?
Mke wa mtu1" Hata nikipigwa kimoja basi kiwe cha ujazo jamani, yeye hata dakika 5 nyingi'
Siasa basi" umeshawahi kumwambia kuwa hakufikishi?"
Mke wa mtu 1" Mhhh nitaanzia wapi, naogopa hata kumwambia, si ataniona malaya."
Mke wa mtu 2 " Siasa basi, mume wangu jamani anakibamia, yaani hata akiingiza sisikii chochote , na wala hanifikishi popote, bora nijitie hata vidole"
Siasa basi" wakati unaolewa hukujua kuwa ana kibamia, leo ndio unakiona?
Mke wa mtu 2 " unajua siasa basi, mwanzo kidogo alikuwa afadhali, sasa hivi ndio kimekuwa kidogo zaidi, cha ajabu anaweza kumaliza hata mwezi hajanigusa kabisa, ndoa kwangu imekuwa ngumu sana, siwezi kuvumilia kwa kweli, napewa kila kitu ninachotaka, na mume wangu kama unavyomuona ni tajiri sana hapa Dar"
Haya ni maongezi yetu machache na wake hawa. Katika mazungumzo hayo utabaini wana matatizo kabisa. Kama unataka kuona ndoa yako inakuwa na furaha epuka tabia ya kuchokonoa kasoro za mume wako. Puuza kasoro zake, usimlinganishe na mwanaume mwingine, inawezekana pia hao wanaume wakawa na kasoro ambazo mume wako hana. Tulia ridhika na mazuri yake. Kuhusu suala la kupeana raha muwapo faragha, kaa nae vizuri mwandalie mazingira mazuri na tulivu kisha mwambie kwa utaratibu kwa mahaba. Lazima atakuelewa tu, mtasaidiana pamoja kuondoa tatizo.
Kuna mambo mengi sana yanayopelekea upungufu wa nguvu za kiume kufikia kushindwa kukufikisha. Yawezekana ikawa wewe ndiye tatizo, akitoka nje anapiga mechi na mashambulizi yake ni ya hatari. Badilikeni kaeni na waume zenu myamalizie ndani na sio kuyatoa nje hovyo.
Sasa mke alikuwa anapigwa hadharani na kutukanwa hadharani, akamsimulie nani na kila mtu anajua?tatizo linalowakabili wadada wa siku hizi mimi nadhani huo ni upungufu wa elimu ya unyago...bibi zetu waliofundwa wakafundika utakuta walikuwa na wanaume wakatili lakini ata siku moja awezi kuthubutu kupeleka mambo yake ya ndani kwa mtu yeyote....lakini hii elimu tuliyoletewa na wakoloni inatupumbaza kiasi na wasichana nao siku hizi wanajiona kama wanaume...na kujifanya wawazi ndo matokeo yake hayo ya kuanika mambo yao ya siri.
Hahahaaaa!! Kwamba anacholalamikia ndicho anachokifanya!!Kisha kesho unitangaze JF ...akhuu... Thanx but no thanks
ila tuache utani je elimu ya unyago umeipata japo kidogo?Sasa mke alikuwa anapigwa hadharani na kutukanwa hadharani, akamsimulie nani na kila mtu anajua?
Kwakweli[emoji3] [emoji3] [emoji3]Afadhali uchumi haujaguswa
Weeeee.... hebu chill kwanza. Nani kakwambia nna matatizo. Mi sihumizwi..nna 'hinjoi' mahaba nnayopewa na bebiUsikubali kukaa na maumivu, na bahati mbaya anayekuhumiza hajui thamani ya maumivu yako, hajali maumivu ya moyo wako, lakini bado unavumilia kisha unalia. Heart acha kulia sasa, hakuna wa kuyaondoa maumivu yako ila Mimi. Njoo haraka pm kwa tiba.
Nilipata ya ungariba.ila tuache utani je elimu ya unyago umeipata japo kidogo?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nilipata ya ungariba.
Ww ulitaka jamaaa afanyaje? Afu umemwona Mr wako?wanakueleza ili uwafanyeje? na wewe jiongeze hapo
[emoji28][emoji28]Nilipata ya ungariba.
Naona pacha wakoWw ulitaka jamaaa afanyaje? Afu umemwona Mr wako?
Nilipata ya ungariba.