Kama edited eeeh
Yaani kawa kama kikongwe hafanani hata kidogo na binti wa hiyo 19Hahahaa. Nimejikuta nacheka hiyo picha yake hapo juu. Sababu hana tofauti na ile midoli tunayoiona madukani.
Pole yake aiseee.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]after
Ila bana naona zitakuwa zimeeditiwa hizo picha aiseee.Yaani kawa kama kikongwe hafanani hata kidogo na binti wa hiyo 19
Ila naona ni stori ya kweli tatizo hizo picha zilivyo... labda mwenye alijicrop na kuedit maana siunajua sikuhizi picha haiwekwi public bila kuifahariri.Edited hii em cheki ivyo vidoti vya pillow vilivyo kuwa squeezed kama imevutwa flani kwa kuiwrap picha
emmy upo?Ila bana naona zitakuwa zimeeditiwa hizo picha aiseee.
Ila kama ni kweli hana hamu huko aliko sababu sidhani hata kama ana raha ya kujiangalia mara mbili kwenye kioo.
Nipo kaka masai [emoji85] . Niaje pande hizo?emmy upo?
Kama ni kweli anajuta maana alikuwa mzuri kajiharibu.Ila bana naona zitakuwa zimeeditiwa hizo picha aiseee.
Ila kama ni kweli hana hamu huko aliko sababu sidhani hata kama ana raha ya kujiangalia mara mbili kwenye kioo.
Ni poa aiseeh....Nipo kaka masai [emoji85] . Niaje pande hizo?
Tena mzuri haswaaa. Rafiki vipo vya kutamani tuwe navyo ila kwa hivi vya kujibadilisha mwili vitupite tu aiseee.Kama ni kweli anajuta maana alikuwa mzuri kajiharibu.
Umeona eeh! Turidhike kwa jinsi tumeumbwa na Mungu. Tusikufuru kwa kumkosoa katika uumbaji wake. AMETUUMBA KWA MAKUSUDI!Tena mzuri haswaaa. Rafiki vipo vya kutamani tuwe navyo ila kwa hivi vya kujibadilisha mwili vitupite tu aiseee.
Elvii....Umeona eeh! Turidhike kwa jinsi tumeumbwa na Mungu. Tusikufuru kwa kumkosoa katika uumbaji wake. AMETUUMBA KWA MAKUSUDI!
Nafurahi kukuona kaka masai sababu ni kitambo sana aiseee.Ni poa aiseeh....
Naangalia picha za huyu mdogo wako wa kiiraq
Nafurahi kukuona kaka masai sababu ni kitambo sana aiseee.
Huyo mdogo wangu ana shida sehemu aiseee pia najisikia niwalaumu wazazi kama anao kwa kushindwa kumpa japo kaushauri kabla ya kufanya. Au hata baada ya kufanya upasuaji wake wa kwanza nina imani asingefikia huko alipo sasa.
Yaani anatisha sana pacha. Unaweza jua kavaa kinyago. HahahaaPacha naona bora hata midoli ,kawa kama msukule
Abee DabyElvii....
Kajina kazuriAbee Daby
Asantee ka kwako pia kazuri.Kajina kazuri